Ali Kiba atimuliwa kwenye nyumba aliyokuwa kapewa aishi

Hahaha sasa unabisha frank ni msingi penenge.. Kaachika + kafeli, life ya kuuza sura si mchezo bado kidogo angeolewa.

Mjini ujanja .....halafu we humjui Frank, naona una hate tuu. ....Frank kuondoka bongo 2003 na karudi UK kimoja mwaka jana. .......ameshakua traffic manager hapo clouds. ...ana nyumba kunduchi(ambayo we hutaki kuwa ni yake... Lol).....anaishi na familia yake London. .....kama kufeli maisha ndio huko embu nawe tupe muhtasari wa maisha yako.
 
Haaaa alisema anajenga likatupiwa picha la mansion kubwa ya Kiba sasa ndio nashangaa miaka kama miwili au mitatu imepita kumbe yuko kwenye nyumba ya mtu.. Au zile zilikua mbwembweee
Kapungukiwa elf 20 ya kumalizia swimming pool ndo ahamie
 
Aah kwani UK panatisha mama? Ni uamuzi tu ufanye maisha yako wapi. .......Frank hajamtimua kiba. ....ningeandika mengi lkn sitaki kuwa msemaji wao

Haaa hujaona "lol" hapo mwishoni

Sema usikike mkuu Jf where we dare to talk openly
 
Haaaa alisema anajenga likatupiwa picha la mansion kubwa ya Kiba sasa ndio nashangaa miaka kama miwili au mitatu imepita kumbe yuko kwenye nyumba ya mtu.. Au zile zilikua mbwembweee

Mwenzie Chibu ni mjanja. Mjengo kwanza malumbano baadaye!
 

Bado haijathibitishwa kuwa hyo nyumba ni ya huyo mwanamke au lah, ila kitendo cha kupanga na kudanganya kuwa mjengo ni wake ni fedheha na aibu tosha, ametuaibisha team kiba, mimi nashindwa ata kumtetea
 

Sawa mkuu... Ila muulize vizuri usiyofahamu kama ishu ya kulelewa +kuachika, huyo watu wanamjua toka anashiriki urembo.
 
Bado haijathibitishwa kuwa hyo nyumba ni ya huyo mwanamke au lah, ila kitendo cha kupanga na kudanganya kuwa mjengo ni wake ni fedheha na aibu tosha, ametuaibisha team kiba, mimi nashindwa ata kumtetea

Hahaaa ndio king huyo ambae hana nyumba......kuna king mwenzake anakiblog nae kapanga dadadeki... hakuna baba mwenye tuzo kuna faza hausi
 
Sawa mkuu... Ila muulize vizuri usiyofahamu kama ishu ya kulelewa +kuachika, huyo watu wanamjua toka anashiriki urembo.

Kwa kuwa namjua wala sina haja ya kumuanika. ....jamaa ni mshkaji wangu na tuna share story na mambo mengi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…