Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Bado haijathibitishwa kuwa hyo nyumba ni ya huyo mwanamke au lah, ila kitendo cha kupanga na kudanganya kuwa mjengo ni wake ni fedheha na aibu tosha, ametuaibisha team kiba, mimi nashindwa ata kumtetea
msijali atahamia kwa wema sepetu