Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,183
Nahis kuna ukweli jamaa atakuwa kalamba 10mWote wapuuzi wanatufanya sisi watoto wadogo,Kiba kalipwa mupunga kuipa kiki tamasha la WCB.
Kiba anadata au inakuaje''Usiniletee mambo ya darasa la Pili unaniiibia penseli alafu unanisaidia kutafuta .(UNIKOME)
Mwanaume huwa anaongeaga mara moja tu sasa ukitaka nikuweke uchi watu wajue unayonifanyia hata kwenye hilo tamasha hatokuja mtu sasa tuishie hapo nakutakia tamasha njema @diamondplatnumz ''
Hilo pozi la KING linamaanisha nini? Maana katoa mipasho na pozi juuAlikiba mtu wa kimya, leo naona post hii aliyopost imenistusha, mnaojua imekuaje wazee...View attachment 1249061
WCB na KIBAKULI wanatufanya sisi w0te wajinga kama WAO.Nahis kuna ukweli jamaa atakuwa kalamba 10m
Mtoto wa kiume unamchunguza mwanaume mwenzio aiseehAnaumwa ugonjwa wa ngozi ona suraView attachment 1249094
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mh pole yake, na kukomana tena kumehusika tabia za mombasa sasa hizo...