Ha ha ha haaaaaaaaaaa!Shukrani kwa Ally Kiba kwa kutuunganisha CCM na UKAWA!
Msinisemee msinisemee hata kama napenda kula (sio escrow).....
Me niko ccm imani pamoja na jaji Sinde....ccm maslahi tunawachia wengine!Hahahaaa,bahati yako ila tukikutana siasani ni uso wa mbuzi....hatujuani huko
Ccm inatupeleka kubaya hata km ndo kula na kipofu co kiivo jamani duuuuh yaani natamani ningekuwa na uwezo wa kuwaondoa wote waliopo madarakani na wananchi wachague viongozi bora. Mm sioni wanachokifanya zaid ya kutudumaza na umaskini we serikali inakopa mpaka hela za kuwalipa watumishi wake mishahara wamekalia umalaya hadi wengine wanaumwa tezi dume
Umemaliza kila kitu.....hiyo ndo ccm maslahi!Ccm inatupeleka kubaya hata km ndo kula na kipofu co kiivo jamani duuuuh yaani natamani ningekuwa na uwezo wa kuwaondoa wote waliopo madarakani na wananchi wachague viongozi bora. Mm sioni wanachokifanya zaid ya kutudumaza na umaskini we serikali inakopa mpaka hela za kuwalipa watumishi wake mishahara wamekalia umalaya hadi wengine wanaumwa tezi dume
Hili suala ni balaa,kila mtu atabeba msalaba wake,aisee
Hahahaaaa eti tezi dume
Jamani nilikua namuamini na kumpenda prof. Anna Tibaijuka sijui imekuwaje na yeye pia yumo,dah!
Wanakera sana hawa wanachuna ngozi imezidi hafu wanalindana watu hawana madawa miradi mingi haiendi eti wanapeana zawadi mbona hawana huruma nataka wote waliopata mgao wakomeshwe aarrrrrgh
Me niko ccm imani pamoja na jaji Sinde....ccm maslahi tunawachia wengine!
Yeye alipokea mshiko in good faith tu! Ni kahela ka ugolo tu.
Ccm inatupeleka kubaya hata km ndo kula na kipofu co kiivo jamani duuuuh yaani natamani ningekuwa na uwezo wa kuwaondoa wote waliopo madarakani na wananchi wachague viongozi bora. Mm sioni wanachokifanya zaid ya kutudumaza na umaskini we serikali inakopa mpaka hela za kuwalipa watumishi wake mishahara wamekalia umalaya hadi wengine wanaumwa tezi dume
Jamani jamani!!!mimi mwenyewe ni mwanafunzi wa miss strong kumbe nimeiva eeh?
Uwiiiii mbavu zangu jamani!!!
Uwiiiiii jamani nakipendaje hicho kipande???pia mama yangu anaupenda sana huu wimbo.
Nzuri kabisa
watu makini sana wa humu
Atoto nipoooo!!ni hizi shughuli za hapa na pale na mambo ya escrow!!Ila hapa ni mahali pa kutolea machungu ya mambo maovu yanayofanywa na hawa wana siasa wetu pamoja na viongozi wa nchi!!
Wapi Geniveros!!mlinzi wa zamu nimeingia kazin ingawa naona baraza lote limehamia siasani...jamani huko siasani mkiona joto hasira limezidi mrudi mtanikuta hapa!!Tundu Lissu anaongea mambo mazitooo
Mhhh jamani 1.6 billion ni kahela ka ugoro?Mimi ningepata hata nusu yake si ningefanya mabalaa!!
mlinzi wa zamu naona kazi yako, nakupendaje sasa!
Habari za mchana!poleni na mabalaa ya bunge....tunatiana pressure bureee...kweli utaifa mbele kule siasani opera min kanikosha anatoa makavu live kwa CCM!(Usipate bichwa)
duuuuh mmefika huku!!! aiseeee guuud, kiba we kiba weee