Ccm inatupeleka kubaya hata km ndo kula na kipofu co kiivo jamani duuuuh yaani natamani ningekuwa na uwezo wa kuwaondoa wote waliopo madarakani na wananchi wachague viongozi bora. Mm sioni wanachokifanya zaid ya kutudumaza na umaskini we serikali inakopa mpaka hela za kuwalipa watumishi wake mishahara wamekalia umalaya hadi wengine wanaumwa tezi dume