Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Jamani Ally nawewe,twatamani kusikia izo tungo zako plz chonde ziachie jamani...n
 
Refer to your statement,"ukiona kimya ujue hana mashairi" heheheeeiiiyaaaaa!!!
Hivi hapo uliandika ukiwa serious au ulijisikia tu nawe ucomment vile ulikuwa unakimbizana na muda wa bando lisije likaisha bure?

Rudi kaulize nyimbo ya mwana Kiba kaitunga/kaiandaa lini na mashairi yake amekaa nayo kwa muda gani mpaka kuja kuitoa.
Au kama unaogopa kuambiwa umeisaliti kambi basi mfuate Daina Nyange umuulize ile nyimbo aloibiwa na baba ubaya alikuwa na muda gani tangu aiandae mpaka baba ubaya alipokuja kuiiba.

Note better: Ukiona Mfalme yupo kimya ujue hajaamua.....fullstop!!!

na ukiona kobe kainama ujue anatunga sheria!! unajua wanahaha maana wao mwenyewe wanamjua fika kuwa Kiba harembi so huo ukimya wake unawapa jaka la moyo balaa maana wanajua akirudi lazima wakimbie kambi, so waache tu wajifariji coz ukweli mchungu wanao mioyoni mwaooo, heheeiiiyaaaa, Kiba waburuze baba
 
hahaa Avemaria nitake radhi nikimbizane na muda wa bando nimekuwa mwanafunzi wa seco au? najiunga ya mwezi mzima lol so wasiwasi wa kuishiwa bando tupa kule
sawa mi ninaweza kukubaliana na wewe mfalme alikuwa hajaamua je mashabiki wangapi nchi zima wanaamini hivyo? think outside the box ave
sina kambi yoyote wasanii wote wawili nawakubali hata kule na comment the way i like na sio kumfurahisha mtu

Uzuri ni kwamba muziki ni jambo la hadharani ambalo kila mtu analiona na kulisikia. Katika biashara ya muziki kuna kitu kimoja kinaitwa uhai wa muziki wako ulio sokoni.
Wanamuziki wengi waliofanikiwa hutumia kanuni hii. Kwa King Kiba kanuni hii humfanya atoke baada ya muda mrefu tofauti na wanamuziki wengine wa Bongo.
Mara nyingi Kiba hutoa nyimbo ambazo huwa ni chaguo la mashabiki kwa muda mrefu, kwa maana ya muziki kuwa hai sokoni kwa muda mrefu.
Tukitolea mfano wimbo wa Mwana, ulitoka audio mwezi July, lakini mpaka October bado mashabiki walikuwa wakivutiwa nao, kwani kwenye tamasha kubwa la muziki Bongo la Fiesta ndio wimbo ulioshangiliwa zaidi.
Sasa katika hali hiyo kukandamiza wimbo mwingine kwa haraka haraka ni kukupoteza uliopo au kuwachanganya mashabiki wako, kitu ambacho sio kizuri katika biashara ya muziki.
Ndio maana wanamuziki kama Jay Z, R Kelly, Koffi Olomide na wanamuziki wengine wenye tungo makini huwezi kuona wakitoa nyimbo nyingi ndani ya kipindi kifupi.
Nassib alikuwa na haki ya kutoa wimbo Mpya haraka kwa sababu nyimbo zake mbili za mwisho zilipotea haraka, alizitoa July kwa mpigo lakini October akazomewa kwenye Fiesta, kwa maana ya kutokonga nyoyo za mashabiki.
Ova
 
Last edited by a moderator:
Uzuri ni kwamba muziki ni jambo la hadharani ambalo kila mtu analiona na kulisikia. Katika biashara ya muziki kuna kitu kimoja kinaitwa uhai wa muziki wako ulio sokoni.
Wanamuziki wengi waliofanikiwa hutumia kanuni hii. Kwa King Kiba kanuni hii humfanya atoke baada ya muda mrefu tofauti na wanamuziki wengine wa Bongo.
Mara nyingi Kiba hutoa nyimbo ambazo huwa ni chaguo la mashabiki kwa muda mrefu, kwa maana ya muziki kuwa hai sokoni kwa muda mrefu.
Tukitolea mfano wimbo wa Mwana, ulitoka audio mwezi July, lakini mpaka October bado mashabiki walikuwa wakivutiwa nao, kwani kwenye tamasha kubwa la muziki Bongo la Fiesta ndio wimbo ulioshangiliwa zaidi.
Sasa katika hali hiyo kukandamiza wimbo mwingine kwa haraka haraka ni kukupoteza uliopo au kuwachanganya mashabiki wako, kitu ambacho sio kizuri katika biashara ya muziki.
Ndio maana wanamuziki kama Jay Z, R Kelly, Koffi Olomide na wanamuziki wengine wenye tungo makini huwezi kuona wakitoa nyimbo nyingi ndani ya kipindi kifupi.
Nassib alikuwa na haki ya kutoa wimbo Mpya haraka kwa sababu nyimbo zake mbili za mwisho zilipotea haraka, alizitoa July kwa mpigo lakini October akazomewa kwenye Fiesta, kwa maana ya kutokonga nyoyo za mashabiki.
Ova

yaaani nyimbo za kiba zinadumu sana, mwana ninavyoupenda km ndio nimeuckiliza leo kwa mara ya kwanza, so akitoa mwingine haraka wakat mwana inafanya vzr sio isue kabisaaa, nazidi kuona logic yake ya kuchelewesha video, lkn ukiwa na akili za papara utaona km kaishiwa hv, ila he knows wht he is doing, mi ukimya wake wa kujiweka kando na midia ndio unanichosha, atafute pr jamani
 
yaaani nyimbo za kiba zinadumu sana, mwana ninavyoupenda km ndio nimeuckiliza leo kwa mara ya kwanza, so akitoa mwingine haraka wakat mwana inafanya vzr sio isue kabisaaa, nazidi kuona logic yake ya kuchelewesha video, lkn ukiwa na akili za papara utaona km kaishiwa hv, ila he knows wht he is doing, mi ukimya wake wa kujiweka kando na midia ndio unanichosha, atafute pr jamani

Kiba ana uelewa mkubwa wa muziki na namna ya kufanya biashara ya muziki. Ndio maana huu wimbo wa Mwana ambao awali alipanga kumshirikisha Fally Ipupa aliamua kumtoa kwa sababu wimbo ulishakuwa mzuri bila Fally, na badala yake akatengeneza wimbo mwingine akaimba naye, ambao nao ni mkali kinoma.
Ova
 
Kiba ana uelewa mkubwa wa muziki na namna ya kufanya biashara ya muziki. Ndio maana huu wimbo wa Mwana ambao awali alipanga kumshirikisha Fally Ipupa aliamua kumtoa kwa sababu wimbo ulishakuwa mzuri bila Fally, na badala yake akatengeneza wimbo mwingine akaimba naye, ambao nao ni mkali kinoma.
Ova


unajua kwa muda ambao kiba alikuwa kimya ni vigumu sn kurudi ukabamba kama alivyofanya!!! hilo tu ni jibu tosha kuwa sio wa kuchukulia poa, wasanii wangapi wamejaribu wakashindwa?? nature ya muziki wake hauchuji kila cku ni mpya, jamani niacheni nimpende huyu ni mwanamuziki haswaaa, sio msanii tu!
 
oneni vichwa vinawauma, washalala wanajipoza na maji, na kiba wala muda hana ashawakanya anasikiliza na kutoa mamelody, unalalama nini weweee kusema sn mtakuwa chizi, huu mziki yeye ndio mjuzi, kila mtu anamtaja Aliiii.........(kiba we kiba weee, nishirikishe tutoe hii rmx) wapi nifah na ladatho
 
Last edited by a moderator:
Wapendwa leo naomba udhuru hapa jukwaani niko na wafia nchi tunajipongeza kwa kupiga mitungi hatimaye Umma umewashinda mafisadi leo majambazi wakubwa hawa.
Vp mtani mafuriko yamekukumba!??
 
Back
Top Bottom