Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
hahaaaa!!! hayo yana wenyewe mama, rudi tujisahaulishe machungu huku
Nakuambia!huko nawaachia wanaojiweza bwana...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaaaa!!! hayo yana wenyewe mama, rudi tujisahaulishe machungu huku
yaaani siasani unaweza ukameza cmu kwa hasira
Mimi sitaki tena siasa zinachosha sana....uwiiiiii yaani jana nimeumiza akili sana,sitaki mimi nawaachia nyie wataalam
Ya nini nife kwa presha sababu ya hasira ilhali wengine wanakula mema ya nchi?
yaaani siasani unaweza ukameza cmu kwa hasira
Hahahaa usituache peke yetu bwana. Twende pamoja mpaka kieleweke.
Ova
Hahaaaa chezea siasa wewe, atakuwa amevurugwa huko, maana aliaga kabisa kuwa anakwenda siasani
Hahahaa usituache peke yetu bwana. Twende pamoja mpaka kieleweke.
Ova
akuuuu!! endeleeni wenye mioyo yenu ya chuma, nicje tupa kamchina kangu ka urithi buree kwa hasira
Ha ha ha loh kule ni shiiider tupu kila mtu na lake
Tatizo wewe unaangalia tuu wala huungani na sisi kule kwenye comments,au unaogopa utapoteza concentration nini?
yaani hii nchi jamani Nyerere alituharibu sana, tupotupo tu na wala hatuitaji mabadiliko, km tumerogwa aisee
Nikiwa nafuatilia huwa napenda kutulia na kukusahau point zangu.
Ova
Jana naona umepambana kwelikweli,unapenda siasa wewe???
Umesahau jana usiku kaaga kua anapiga tungi na washkaji zake wanasherehekea ushindi wa kuwagaragaza mafisadi?
Nadhani ulikua unamaanisha kukusanya points zako....
Leo nitajikaza jioni nione itakuwaje,hili sakata la escrow likiisha na mimi namalizana na siasa