Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Sio kivile labda mpaka kwenye national matters siasa za kibongo na Kiafrica ni majanga kuwaumiza na Ku fool wananchi sipendagi sana
Umeona eeh?wewe uko kama mimi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kivile labda mpaka kwenye national matters siasa za kibongo na Kiafrica ni majanga kuwaumiza na Ku fool wananchi sipendagi sana
hahaaaa!! hangover yotee imemuisha
Hahahaaa! Hutaki kabisa.
Ova
Mpendwa we acha tu, jana nilikuwa kwenye show somewhere nimerudi home alfajiri na nikazimika na nimechelewa kuamka, uzuri nimejiari leo nimejipa off sitoki home.
Tupo pamoja mpendwa.
Wewe acha tu,kwa sasa siasa naiweka kando hadi niwe mtu mzima...I am too young for politics
Mpendwa we acha tu, jana nilikuwa kwenye show somewhere nimerudi home alfajiri na nikazimika na nimechelewa kuamka, uzuri nimejiari leo nimejipa off sitoki home.
Tupo pamoja mpendwa.
hahaaaa!!! mie hata nizeeke ctaki haya mambo
mmmmh!!!
Ni pressure tupu bora kutokujua kabisa duuuu mi najuta hata kufatilia puliiiiiiiz ESCROW BRING BACK OUR MONEY
Unashangaa nini?nilikuambia mimi...au kwa sababu hakukualika nini?
Uwiiiii
Jamani jana jirani yangu kanifurahishaje?ripoti ya PAC ilivyoisha tanesco wakakata umeme...acha afungulie mwana kwa sauti ya juu hatariiii,sijui alikua anatumia nini yeye...uwiiii nikaserebuka balaa nikawakumbuka family yetu hapa sana
we mwana wewe mwana mwana jeuri sana....., kuna huyo baba ni jirani yangu yaani kila cku asubuhi lazima alige mwana, yaani ndio km breakfast yake, basi ananifurahishaga
Uwiiiii,basi hiyo nyumba walikua wanashangilia balaaa...kidogo niwafuate...hahahaaa
Ali Kiba katisha sana kwenye mwana jamani