jamani nimo escrow
Happy Birthday King Ally Kiba a.k.a Mwalimu Wao.
mwalimu naona hukubali hadi kieleweke!Tanzania zaid ya uijuavyo,hii nchi ukifikiria sn unaweza ukawa alshabab buree, ngoje mie nijiburudshe na kiba hapa
mwalimu naona hukubali hadi kieleweke!Tanzania zaid ya uijuavyo,hii nchi ukifikiria sn unaweza ukawa alshabab buree, ngoje mie nijiburudshe na kiba hapa
Mmebanwa na fAmilia na bebes!
Jamani yule wakuitwa dimondii kapata tuzo mbili huko... sasa sie tunafanyaje?? alafu zile t-shirt vipi jamani hazijafika tu?? teh
Tuna tuzo ya piliiiiii heheeeeeeeeeeeeeeeeee jaman ndimu inawahusu au tindikaliii
Iyanya, Davido wamekalishwaaaaaa safari hiiii
Ngoja Fiesta atatukoma... tutamzomea mpaka ashuke jukwaani
Na safariii hii tunapanda dau mnaweza msimuone fiesta
sasa tutamzomea nani jamani?? mleteni bana teh teh
Heheeeeeeee nyie mkijitahidi ni mwisho masasi poleniiii