Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

yaani jamani sichoki kumckiliza kiba, hiki kichwa hatari sana
 
mwalimu naona hukubali hadi kieleweke!Tanzania zaid ya uijuavyo,hii nchi ukifikiria sn unaweza ukawa alshabab buree, ngoje mie nijiburudshe na kiba hapa

hahahaaaa ndo nimerudi nimerudiiiii nimerudiiii
hapy birthday alyy
 
mwalimu naona hukubali hadi kieleweke!Tanzania zaid ya uijuavyo,hii nchi ukifikiria sn unaweza ukawa alshabab buree, ngoje mie nijiburudshe na kiba hapa

hahahaaas hvyi hvyo tu nimerudi mpenzi
 
Fanya yako. Hope ujumbe utafika mmmmmh watu wanajua kuwashwa cjapata kuona raha apate mwingne kiuno ukate ww inahuuuuu.
 
Jamani yule wakuitwa dimondii kapata tuzo mbili huko... sasa sie tunafanyaje?? alafu zile t-shirt vipi jamani hazijafika tu?? teh
 
Jaman kijana superstar bongo nzima wengine bado sana kumfikia level yake Daimond platnum kapata tuzo ya piliiiii
Uwiiiiiiiiii dai taratibu utauwa watuuu
 
Jamani yule wakuitwa dimondii kapata tuzo mbili huko... sasa sie tunafanyaje?? alafu zile t-shirt vipi jamani hazijafika tu?? teh

Tuna tuzo ya piliiiiii heheeeeeeeeeeeeeeeeee jaman ndimu inawahusu au tindikaliii
Iyanya, Davido wamekalishwaaaaaa safari hiiii
 
Back
Top Bottom