Mlikuwa wapiiii?Honey faith,brenda 18,Mdakuzi,Nifah,mmetuachia jaka lakini jeshi la Kiba matata sana,mtu mmoja kwa ndondocha mia!!Ilikua raha sana kubishana na wehu!!
badala wakae wajitathmini wanakaa kuhangaika na kiba, bora unyimwe macho ila upewe akili yenye uelewa utafanya mambo makubwa sn kuwashinda wenye macho, wanahangaika na adui wasomjua kuchwaaa, mie nampenda Kiba hata km hajawahi kupata tuzo na nalijua hili na nina sababu zangu, cjaanza kumshabikia jana, soo kwangu Kiba is the best male artist tz
Kuna tatizo la uelewa kwenye kazi na biashara ya muziki, niliwahi kutolea mfano wa Ice Cube kutopata Tuzo licha ya kuimba na kushiriki kwenye nyimbo kali na akiimba na wanamuziki wakali.
Sasa kutwaa hizo Tuzo za Kanda ya mashariki na kutwaa Tuzo ya mwanamuziki chipukizi ndio la kupigia kelele hapa? Tatizo wengi wa wawapiga kelele wa mtaa wa pili walianza kufuatilia muziki baada ya jirani yao Nassib kuanza kuimba.
Kwa hiyo hawana Historia yoyote ya muziki wa Kimataifa wala uelewa mpana wa muziki wenyewe, hawajui Jide alishachukua hii Tuzo ya Channel O na kutumbuiza kwenye Tuzo hizo miaka kibao iliyopita.
Ova
maji hayaachi asili hata yakichemka vipi, hawa watu asili yao ni fujo so ukiwajua walaaa hawakuumizi kichwa(they learned from the best), jamani nampenda Kiba zaidi ya ninavyoweza kueleza, hana chuki,hana dharau,mtaratibu,handtham,anajua kuimba,mtunzi bora......... the list goes on and on, so akirekebisha kasoro chache atakuwa bora zaidi
Binadamu ni viumbe wa ajabu sana aisee
Yaani unatumia nguvu na akili mingi sana mkuu kujaribu kuupindisha ukweli?
Huo uelewa wako walahauwezi kubadili ukweli
Ilikua kivumbiiii!!patashika nguo kuchanika!!Wanamaneno ya shombo za kitoto sana sasa haikua kazi u knw!!wakasema mmesusia uzi,nkawakumbusha kuwa mna majukumu mengi,hapa sio sehemu ya kulalia na kuamkia ni burudani tuu!!Gadem mburulaz hawaelewiiii!!Uwiiii niliku miss hatariiii,nimefurahi kwa michamboz yakoz ya hajaz u know....hahahaass nimem miss Le Mutuz jamani sijui kampata wapi mbebez mwingine
Ilikua kivumbiiii!!patashika nguo kuchanika!!Wanamaneno ya shombo za kitoto sana sasa haikua kazi u knw!!wakasema mmesusia uzi,nkawakumbusha kuwa mna majukumu mengi,hapa sio sehemu ya kulalia na kuamkia ni burudani tuu!!Gadem mburulaz hawaelewiiii!!
Ilikua kivumbiiii!!patashika nguo kuchanika!!Wanamaneno ya shombo za kitoto sana sasa haikua kazi u knw!!wakasema mmesusia uzi,nkawakumbusha kuwa mna majukumu mengi,hapa sio sehemu ya kulalia na kuamkia ni burudani tuu!!Gadem mburulaz hawaelewiiii!!
Za asubuhi jamani leo niko busy busy waungwana nna ugeni kidogo