Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
maji hayaachi asili hata yakichemka vipi, hawa watu asili yao ni fujo so ukiwajua walaaa hawakuumizi kichwa(they learned from the best), jamani nampenda Kiba zaidi ya ninavyoweza kueleza, hana chuki,hana dharau,mtaratibu,handtham,anajua kuimba,mtunzi bora......... the list goes on and on, so akirekebisha kasoro chache atakuwa bora zaidi