Nipo humu longtime sana...... Tangu Mkuu matola anazidua jukwaa muulize nifah ananijiua.... Sema nipo busy mwisho wa mwaka huu kazi ndo zinabana...
twambombo..
Haha haaaa itabidi nichunguze hilo,ila kuhusu babu no doubt maana mnajuana
Nipo humu longtime sana...... Tangu Mkuu matola anazidua jukwaa muulize nifah ananijiua.... Sema nipo busy mwisho wa mwaka huu kazi ndo zinabana...
Babu tena yeye ni kiongozi wao Kiba kawafanya wapoteze network kabisa
He!ndio kiwapi hicho?
Nami nasubiri jibu. Lol
Ova
Jamani pamoja na mjadala wote ila ally kiba ni kiboko Yao na kukaa kimya wapo wasanii wa nje wakubwa wana kaa kimya lakini akirudi anatisha sasa tusiendekeze unazi usio na msingi jamaa wenu kila siku nyimbo za kulilia mapenzi
nyie nanyi wapanaaa km mdomo wa mwafulani(kidding)
Eti diamond anaimba kuliko p2,mafikizolo,davido na dibanj......... Hapana jamani tunaibiwa kweupe peeee bora nibaki kwa Alikibar kwenye uhalali kuliko kunako vuma kwa uwizi..... Tangu nimezaliwa sijawahi kusikia wimbo Wa Diamond wenye ujumbe Wa maana... Ni kweli wapumbavu ni wengi na wanapenda meaningless........ Am out