Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Umeona eeh?tokea huu uzi uanze nimeona ID's mpya ambazo sikuwahi kuziona kabla....ni hatari

Yaani watu wanaanzishia ID Mpya uzi huu? Ama kweli watu wanaifanya kazi, coz ukiona mtu anapambana nawe kwa njia haramu ujue anakuhofia sana.
Ova
 
Afadhali umekubaliana na karibu kila tuzo hulalamikiwa. Sasa sababu ya kulalamikiwa ndizo hizo sarakasi zilizomo kwenye hizo tuzo. Na ndicho nilichokisema, kwa maana ya kwamba Adele aliweka rekodi ya tuzo nyingi, lakini Nicki Minaj akauza sana album. Kama Davido kupata tuzo nyingi, lakini 2 Face Idibia akauza nakala nyingi za album.
Nijuavyo, maana ya mifano mfu ni ile ambayo haipo, lakini mimi nimekuwa mifano ya historia ya maisha ya muziki, kwani kiazi chetu tunajifunza kufuatana na historia kwa maana ya kumbukumbu, ndio maana leo tuna vitabu vitakatifu ambavyo vina miongozo ya matukio na maisha ya zamani.
Sasa kama mfano wa historia ya yaliyopita kwenye maisha ya muziki unaita mfu, unahitaji nini zaidi? Sijui kama unajua kama vitabu vinavyouzwa sana ukiondoa vya novel, ni vile vya kumbukumbu za watawala na watu mashuhuri waliopita kwa ajili ya watu kutaka kujifunza kupitia kwao.
Mifano niliyotoa ina maana kwamba unaweza ukawa mkali lakini bado usipate tuzo. Sikuwahi kutoa mfano wa asiyestahili kupata tuzo, kila anayefanya sanaa anaweza kupata tuzo au akakosa, lakini tuzo ni tofauti na matokeo ya darasani kwa maana ya uwezo halisi.
Katika tuzo ni tofauti, watu mtapiga kura nyingi muwezavyo lakini zinapewa asilimia 10 tu katika ushindi, kisha kuna kundi la watu watajifungia ndani na kuamua kwa muono wao kuwa huyu na huyu ndio washindi, kama unavyojua kila binadamu ana utashi wake.
Ndio maana tunaona Casper Nyovest kapata tuzo nyingi kwa wimbo wake wa Doc Shebeleza, lakini katika kufuata hisia za wapenzi wa muziki, huo wimbo wa Doc Shebeleza umeweza kuupoteza Y Tjukutja wa Uhuru alioimba na akina Professor, Oskido na Dj Bucks? Umeupoteza Khona wa Mafikizolo?
Ova

we mjamaaa weweeee
mi apreshiate yuu
 
Yaani watu wanaanzishia ID Mpya uzi huu? Ama kweli watu wanaifanya kazi, coz ukiona mtu anapambana nawe kwa njia haramu ujue anakuhofia sana.
Ova
Wewe hujaziona eeh?ni wachache sana wanaokuja hapa na ID's zao (pia ndio hao hao wenye hizo mpya)
Ajabu sana
 
Mi mwenyewe nimeshangaa eti!
Ila Diva Beyonce alishashtukiaga akawaambia wawe wanakuja na IDs zao za siku zote! Duh kweli Kiba nomaa!

Wana multiple IDs hafu hawaji na za zamani uku tatizo uelewa wanafikiri tunashindana kumbe na kila mtu akipendacho wanajichosha kwakweli Kiba yuko pale pale atawapa pressure bure.
 
Last edited by a moderator:
Wana multiple IDs hafu hawaji na za zamani uku tatizo uelewa wanafikiri tunashindana kumbe na kila mtu akipendacho wanajichosha kwakweli Kiba yuko pale pale atawapa pressure bure.

Hahahaa watu hawana kazi jamani?unafungua I'd nyingine kisa uje utukane huku?
Hatari sana.
Nahisi pia baby ako chinga atakua nayo,hahahaaaa
 
Wewe hujaziona eeh?ni wachache sana wanaokuja hapa na ID's zao (pia ndio hao hao wenye hizo mpya)
Ajabu sana

Sikujua hiyo kitu aiseeh! Sasa shida yote hiyo ya nini? Watu ni wa ajabu sana kusema kweli, yaani wana ID maalum za kututukana sisi na Kiba? Ama kweli ujinga ni mzigo kama wa mavi. Halafu ukishatukana watu kwa ID yako feki unakuwa umepata nini cha maana?
Ova
 
Hahahaa watu hawana kazi jamani?unafungua I'd nyingine kisa uje utukane huku?
Hatari sana.
Nahisi pia baby ako chinga atakua nayo,hahahaaaa

Ha ha ha ha hilo la kuuliza best mi nimechunguza nikafahamu tena kuna mmoja anaandika marefu ka gazeti la shingongo babu anazo nyingi tu ndo anaingia nazo. Huku
 
Yaani watu wanaanzishia ID Mpya uzi huu? Ama kweli watu wanaifanya kazi, coz ukiona mtu anapambana nawe kwa njia haramu ujue anakuhofia sana.
Ova

mmmh!hh hiyo yote kisa twamshabikia Kiba??? na bado waje nazo tu, ila walaaa haibadilishi chochote!!!! Kiba is the best.
 
Jamani pamoja na mjadala wote ila ally kiba ni kiboko Yao na kukaa kimya wapo wasanii wa nje wakubwa wana kaa kimya lakini akirudi anatisha sasa tusiendekeze unazi usio na msingi jamaa wenu kila siku nyimbo za kulilia mapenzi
 
Back
Top Bottom