Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa kachokozi sana haka katoto
mmmh!hh hiyo yote kisa twamshabikia Kiba??? na bado waje nazo tu, ila walaaa haibadilishi chochote!!!! Kiba is the best.
Jamani pamoja na mjadala wote ila ally kiba ni kiboko Yao na kukaa kimya wapo wasanii wa nje wakubwa wana kaa kimya lakini akirudi anatisha sasa tusiendekeze unazi usio na msingi jamaa wenu kila siku nyimbo za kulilia mapenzi
Nimeshangaa sana kwa kweli.
Ova
Wana multiple IDs hafu hawaji na za zamani uku tatizo uelewa wanafikiri tunashindana kumbe na kila mtu akipendacho wanajichosha kwakweli Kiba yuko pale pale atawapa pressure bure.
Jamani pamoja na mjadala wote ila ally kiba ni kiboko Yao na kukaa kimya wapo wasanii wa nje wakubwa wana kaa kimya lakini akirudi anatisha sasa tusiendekeze unazi usio na msingi jamaa wenu kila siku nyimbo za kulilia mapenzi
Ha ha ha ha hilo la kuuliza best mi nimechunguza nikafahamu tena kuna mmoja anaandika marefu ka gazeti la shingongo babu anazo nyingi tu ndo anaingia nazo. Huku
Eti diamond anaimba kuliko p2,mafikizolo,davido na dibanj......... Hapana jamani tunaibiwa kweupe peeee bora nibaki kwa Alikibar kwenye uhalali kuliko kunako vuma kwa uwizi..... Tangu nimezaliwa sijawahi kusikia wimbo Wa Diamond wenye ujumbe Wa maana... Ni kweli wapumbavu ni wengi na wanapenda meaningless........ Am out
i think zile ni tuzo za videos, wanaangalia ubora wa video(if am not mistaken)
Mnyaki dada,ijimbombo jilipo!
Ko Diamond anatoa video nzuri kuzidi p2.... Na kuwashinda mafikizolo????? Nimeibiwa kweupe....
Kangi nywamu fijo.....
mmhh! thijui ila nadhani hilo mdakuzi alilifafanua vzr, karibu kwa king wetu tuburudike sie, hayo mengine yackupe shida, jipe rahaaa na Kiba
Eti diamond anaimba kuliko p2,mafikizolo,davido na dibanj......... Hapana jamani tunaibiwa kweupe peeee bora nibaki kwa Alikibar kwenye uhalali kuliko kunako vuma kwa uwizi..... Tangu nimezaliwa sijawahi kusikia wimbo Wa Diamond wenye ujumbe Wa maana... Ni kweli wapumbavu ni wengi na wanapenda meaningless........ Am out
Mnyaki dada,ijimbombo jilipo!
Sikujua hiyo kitu aiseeh! Sasa shida yote hiyo ya nini? Watu ni wa ajabu sana kusema kweli, yaani wana ID maalum za kututukana sisi na Kiba? Ama kweli ujinga ni mzigo kama wa mavi. Halafu ukishatukana watu kwa ID yako feki unakuwa umepata nini cha maana?
Ova