where hav u biin?maini!
daah umetutelekeza sana
mie najua 'tununu,twambombo' tu
Hahahaaa namshubiri tuone!
Ova
Hahahaaa namshubiri tuone!
Ova
Wee Kiba wewe Kiba!Kipaji chako kimetuunganisha hapa JF hadi tumejitengenezea familia yetu....hahahaaa
Hii familia naipenda siku nisipoingia JF naumwa hooooi taabani!!!
Bora na yeye anayefunguka hapa japo ana act utani ila nahisi anamaanisha...
Kuna watu nawajua nahisi huko PM kunawaka moto ni umbea kwa kwenda mbele...
Wanapita kimya kimya siku izi...safi sana mkubwa akiongea mdogo nyamaza!Feel free to dancee!Feel free to dancee!
Jamani tupieni more pics za Mfalme,jins alivo mashallaaa..(Nna mashaka wale wapita kimya watazitumia kujitia midole)...eee ndo nmesema ila tupieniii!
Bora na yeye anayefunguka hapa japo ana act utani ila nahisi anamaanisha...
Kuna watu nawajua nahisi huko PM kunawaka moto ni umbea kwa kwenda mbele...
Nipo myn... Sema nipo busy kama fundi chelehani anavokua anashona sare.....
Mdakuzi,wewe na Nifah tyuuuu!!(Msinimeze)Ila Nifah kaolewaaa!!Atoto yupo single...hahaaa