toa tu mwaliko mwl usiogope na kututenga wa ntwara(hahaaaa kwa bwana sheeeee)
Aaah!!Tisha sana kulalekiii!!
Morning good peopleeee!!!Have a blessing and prosperous day!!
Geniveros yani nlishaandaa tumbo nilidhani ndo tusha alikwaaa!!
Kula like like!Mdau u r so Clever kwa kweliii!Mwenyewe sijawahi kuona!!Sijawahi kuona!!Amefunguliwa uzi anadaiwa pongezi,kati ya wanamuziki woteee yeye tuu kaonekana hajatoa!!Hii ni only in Tz!katika Maisha yangu tangu nazaliwa sijawahi ona mwanamuziki/mfanyakazi/mtu yeyote amekaa kimya muda mrefu halafu watu wakamng'ang'ania arudi......pia sijawahi ona
mwanamuziki anatoa Audio inakaa miezi mitano na watu bado wanaitamani video yake.....pia sijawahi ona mtu mpole anakua maarufu bila kuwa na mapepe fulani......ONLY IN TANZANIA......ONLY ALI KIBA....Nimegundua watu wanampenda sana....sijawahi ona mapenzi makubwa kiasi hiki...
katika Maisha yangu tangu nazaliwa sijawahi ona mwanamuziki/mfanyakazi/mtu yeyote amekaa kimya muda mrefu halafu watu wakamng'ang'ania arudi......pia sijawahi ona
mwanamuziki anatoa Audio inakaa miezi mitano na watu bado wanaitamani video yake.....pia sijawahi ona mtu mpole anakua maarufu bila kuwa na mapepe fulani......ONLY IN TANZANIA......ONLY ALI KIBA....Nimegundua watu wanampenda sana....sijawahi ona mapenzi makubwa kiasi hiki...
Kula like like!Mdau u r so Clever kwa kweliii!Mwenyewe sijawahi kuona!!Sijawahi kuona!!Amefunguliwa uzi anadaiwa pongezi,kati ya wanamuziki woteee yeye tuu kaonekana hajatoa!!Hii ni only in Tz!
Kula like like!Mdau u r so Clever kwa kweliii!Mwenyewe sijawahi kuona!!Sijawahi kuona!!Amefunguliwa uzi anadaiwa pongezi,kati ya wanamuziki woteee yeye tuu kaonekana hajatoa!!Hii ni only in Tz!
Geniveros yani nlishaandaa tumbo nilidhani ndo tusha alikwaaa!!
katika Maisha yangu tangu nazaliwa sijawahi ona mwanamuziki/mfanyakazi/mtu yeyote amekaa kimya muda mrefu halafu watu wakamng'ang'ania arudi......pia sijawahi ona
mwanamuziki anatoa Audio inakaa miezi mitano na watu bado wanaitamani video yake.....pia sijawahi ona mtu mpole anakua maarufu bila kuwa na mapepe fulani......ONLY IN TANZANIA......ONLY ALI KIBA....Nimegundua watu wanampenda sana....sijawahi ona mapenzi makubwa kiasi hiki...
Mie mzima sana!!Tunakumiss tu,sijui Le super bebii anaendeleaje?hahahaaaaaa ntawaalika siku moja tukale goodtime
mzima lakini weye
nimeamini watz ni waelewa sana kumbe!! Ms.Lincoln umeona comment za wadau??? wamenifurahishaje sasa, watu wana balaaa, Kibaaaa Kibaaaa Kibaaa Kibaaaaa, na mtulie afanye yake bwana, kwani niniiiii