Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Ambako domo kapita mwaka juzi yeye anajaribu kupita leo! Nyimbo zite nzuri zile shooting alikua anafanya sokoni ilala na kikamera cha mchina! Ametuangusha sana mashabiki wake. Kwenda kote kule ulaya akili yake haijajifunza kitu? Acha tu yule bwwege diamond amnyanyase amezidi upuuzi!..
Hahahaaa hayo makunyanzi yatasubiri sana
Ni Tamasha la Sauti za busara atapanda stejini mwezi wa pili mwakani na wasanii kutoka nchi mbalimbali kwa ajili ya live show.
bora hata mwl umekuja, miss u too, how are you?
Atoto!atoto kumbe kweli ukizika mbuzi inasaidia heee!!Offer accepted ahsante mganga wa ndomo jamaniii!
Hahahahaaa umecopy goma la Mataluma! Umetisha wangu.
Ova
Kiba ana uwezo wa juu kimuziki hilo halina upinzani!!Sasa the countdown inaanza nw mahsusi kwa ajili ya kungojea video bora ya mwaka!!Nadhani mnanielewa!!
Akuuu!!we hujaona offer ya kwenda Didi's!!haa bora nijipoze na ur my everything hapa!!
kiba si mara ya kwanza kuimba live nshamuona kwenye miss tz miaka iliyopita
na anaimba vizuri tu sanaaaa the guy is good
duing great ndugu nipo bizebize si unajua mwakani shule zinaanza
Akuuu!!we hujaona offer ya kwenda Didi's!!haa bora nijipoze na ur my everything hapa!!
duing great ndugu nipo bizebize si unajua mwakani shule zinaanza
Ama kweli we bado mtoto. Hiyo offer ya kwenda Didi's akitokea Diva Beyonce le queen mwenyewe unadhani utaipata?? Thubutu
Matola anazuga tu hapa na mtindo wa sweet nothing, bado hajakabwa na wife wake.....uwiiiiii (kwani lala moko yumo siku hizi jamvini?)
Ambako domo kapita mwaka juzi yeye anajaribu kupita leo! Nyimbo zite nzuri zile shooting alikua anafanya sokoni ilala na kikamera cha mchina! Ametuangusha sana mashabiki wake. Kwenda kote kule ulaya akili yake haijajifunza kitu? Acha tu yule bwwege diamond amnyanyase amezidi upuuzi!..
Kiba anafanya impossible kuwa possible, hapana chezeaaaa
nimeona e-news kuwa kiba anatarajia kupiga mziki wa live na wasanii wengine(cwakumbuki) huko zanzibar, nafurahi ninaposikia anafanya mziki wa live maana haya macd inabidi aachane nayo sasa