Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
kunani South Africa au ndo mnafata njia za chibu kawafungulia baraka hhhh diamonds are forever wakati wako uli......
Hili Le project kiboko hata mimi nimemuona anamchamba pashkuna moja la mtaa wa pili sijui hata nini kinaendelea hapa.
Wadwanzi kazi kufuata mkumbo tu ndo maana mnalopoka tu. Ati Dai ndo kamfungulia Kiba njia ya kwenda kushoot SA??
Lolest!!!
Lazima walaleee!!watatafutana nakwambia!!Teiiinaaa!!wamejiandaa kukosoa na roho zao za kutu
Hahahahaaa! Kweli leo una raha sana baby wangu! Nacheka kweli kila nikikusoma.
Ova
tusokuwa ig mbona tunalo!!!
Baby Mkubwa mkubwa jibu swali languuu!!haa
Hili Le project kiboko hata mimi nimemuona anamchamba pashkuna moja la mtaa wa pili sijui hata nini kinaendelea hapa.
wadwanzi kidogo basi utaelewa tu mdwanzi mwenzangu vp tena kijana kajiwekeza hapo nn jazbaaaa tell em' haters i say go to hell
Hahahaaaa yaani sijawahi kufurahi kama leo!Thanks baby,u made my happiness....
Kwani lazima wote muende Sauzi. Wabongo bwana ndo maana hatufanikiwi.Au sababu tuzo za chanel o zinatoka huko?
tusokuwa ig mbona tunalo!!!
La.. Akija kuniua utanitetea?maana kuna mahali niliona anachambwa mtu eti alikua anajifanya anajibebisha kwako kumbe umempa simu achati naye!!Swali lipi tena jamani hebu niulize tena.
Mie blackberry ya kuslide na bado inakuja application ya kuangalia pic tu hata siielewiIna maana simu yako huwezi kudownload app ya Insta? Au unatumia kitochi?