Aaaaaaah umenichekesha eti ndo mashabiki wa ndomo hao hawajui kuandika, ebu nitafute pemben nikupe zawad yako
hahahaaaaaaaa nitakutafuta unipatie hiyo number
Bila shaka hii bifu ndio inamtoa kiba mafichoni hahhahah lemutuz naye azishe bifu na diamond ili awe juu hahahahh diamond anajituma na kutafuta skendo ili awe juu u known Ali kiba anatafuta kick kipitia diamond ......
Ndani ya Dar es salaam ulikuja bureeeeee
Ha ha ha!mbavuuuu zanguuu!!atulize niniii!This thread ni special kwa fans wa Ally K,wamekuja wavamizi wapenda shobo na ugomvi!wanatoa mapovu na kutetemesha midomo!...haa haa
Bila shaka hii bifu ndio inamtoa kiba mafichoni hahhahah lemutuz naye azishe bifu na diamond ili awe juu hahahahh diamond anajituma na kutafuta skendo ili awe juu u known Ali kiba anatafuta kick kipitia diamond ......
Akitegemea bifu ndio atoke basi imekula kwake.
tena kimwana kimwana hujui kuchuna, na zile lawama za wale walokuzoeza, ulikuja jana na leo tofauti sana...
Ndio ukubali kua wewe ni mnafiki...iniume kwani hii thread ni mume wangu???yeye peke yake ndiye anayeniumiza...tuliza kinyeo acha kujipendekeza...
Aendelee kutafuta skendo.....ila kama mpenz wa skendo mbona kuzomewa nayo ni skendo ila hataki.
Ongeza bidii hii hatoshi ikiwezakana ikiwezekana mnyime k mmeo ili muda wote uwe jf kukuzabifu.
Hajaikataa, tena kaipenda kwelii huonii anaongelewa yeye tu Daimond yaan utafikiri alizomewa Kiba aiseee nouma sanaa
Ongeza bidii hii hatoshi ikiwezakana ikiwezekana mnyime k mmeo ili muda wote uwe jf kukuzabifu.