Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,947
- 2,108
hapana!
nkija huku naondoa stress with king kiba fans.....
Karibu saana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapana!
nkija huku naondoa stress with king kiba fans.....
ha ha haaaaa!Ndio nayaona sasa mfano kuanguka kwa CCM
ha ha haaaaa!
hiyo ngumu ni sawa na kumshusha king kiba....
Aisee ule ugali nilikulaga ila nilikua katoto🙂🙂🙂
daaah!
yaan we acha tu....uchaguzi huu sitausahau ktk harakati zang za siasa!
hakika tumechokwa na watanzania,anyway general election 2015 kazi ipo kama tusipochukua hatua bibie...
atoto ulikua ujaja Dunianimmmh!!!
eti eeeh!! wakati ndio umenikuza huo
abou king yuko wapi this w.end jamani, kuna jirani yangu aliondoka akawaacha watoto home jamani wamekesha wakipiga mwana, yaani full kuurewaind na kudence km king, wamenifurahisha kweli
Nilikua sijui kumbe kuna watu inawaforokonda sana King Kiba kuwa na mashabiki?tena inawauma sana yeye kuitwa 'King!',Happy holidays!!waswahili wanasema,mti wenye matunda huweshi kupigwa mawe!!
Leo yupo London
Wafe kabisa
Nilikua sijui kumbe kuna watu inawaforokonda sana King Kiba kuwa na mashabiki?tena inawauma sana yeye kuitwa 'King!',Happy holidays!!waswahili wanasema,mti wenye matunda huweshi kupigwa mawe!!
Nilikua sijui kumbe kuna watu inawaforokonda sana King Kiba kuwa na mashabiki?tena inawauma sana yeye kuitwa 'King!',Happy holidays!!waswahili wanasema,mti wenye matunda huweshi kupigwa mawe!!
Cwez endelea tazama uchafu na kama ingekua amri yangu ningeipiga stop kuchezwa na kituo chochote kile cha tv.stpd
Aaaaaah hahahahaaaaaaa
Eeeeeeh heheheheeeeeee
Iiiiiih hihihihiiiiiii
Ooooooh hohohohooooooo
Uuuuuuh huhuhuhuuuuuuuuuuuu
Uuuuuuuuuuuuwwiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!
#ROFLMAO
Mashabiki wa Ally Kiba wajumuike hapa kumpa ushauri what is next baada ya mashabiki kuonesha mapenzi yao ya dhati kwa Kiba kwenye Fiesta na kuandika historia mpya Tanzania.
Mimi kama Matola nitatumia effort zangu binafsi kuhakikisha nakutana na Kiba na manegement yake ili kuwapa mikakati ya mfalme huyu aweze kuutunza huu ufalme wake.
La kwanza niko tayari kutoa Tshirt za Kiba zenye kiwango ambapo shughuri ya kuziandaa kuna kampuni iko South Africa inaweza kuleta Tshirt katika viwango vya USA.
warumi nifah geniveros
Nisaidieni kuwaita wadau ili tumtengeneze Ally Kiba sasa na nitahakikisha anafunguwa ID hapa kwa jina lake ili kujibu maswali ya wadau pale patakapokuwa na ulazima wa yeye kufanya hivyo. Yeye siyo wa level ya Instagram.
-------------
Ufafanuzi juu ya zawadi
Taarifa ya Mshindi