Ali Kiba Fans' Special Thread...

Sitti kavua tajii, maneno tu khaaaaa hhhhhhhaaa
 
Matola acha kuendekeza njaa. Kwanini kulazimisha kumpa alikiba umaarufu ambao hana? Utakuja aibika shauri zako.

Jamaa anataka kuanzisha mradi wa T-shirt usione anakomaa bure
 
Last edited by a moderator:
Hata nyerere alikua anatembea kutoka butiama hadi mwisenge musoma,ally k posta mbona karibu tu.........haina logic hiyo

Haha nyerere wa kondoa ndo alikuwa anatembea, ila ni aibu kwa mtu kama kiba kufanya muziki cku zote halafu aje kumtegemea mtu aliyemkuta kwenye game ili arudi
 

Hahahah....eti Mtu na akili zake avae tshirt limeandikwa nakshi nakshi ..au cinderella hahahaha
 
Hivi jamani, hatuwezi Waafrika kuungana na kuanzisha Makampuni Mama kwa vitu kama Umeme, Simu, Reli, Ndege, Barabara na kadhalika?

Kabla ya hayo yote ungekaa na menejiment kama unavyodai then mmshauri jinsi ya kuvaa akiwa stejini na pia madansa wazuri hilo linamshusha maana aliwaaibisha fiesta ya kigoma jana.
 



Kabla ya hayo yote ungekaa na menejiment kama unavyodai then mmshauri jinsi ya kuvaa akiwa stejini na pia madansa wazuri hilo linamshusha maana aliwaaibisha fiesta ya kigoma jana.
 
Kuna watu wengine bhnaaa wameanzisha uzi wakaona haitoshi wameamua kuingia cha kiume cha Ally Kiba wakat wanajisaidiaga kwenye choo cha Dadamond.
 
kuna watu wengine bhnaaa wameanzisha uzi wakaona haitoshi wameamua kuingia cha kiume cha ally kiba wakat wanajisaidiaga kwenye choo cha dadamond.

bora uwaambie
mburulaz hao...!!
Hawajaitwa wameitika
wakaiitwa jeee!!!
Nafsi zinawapupa km kuku anakata roho!
 
Kabla ya hayo yote ungekaa na menejiment kama unavyodai then mmshauri jinsi ya kuvaa akiwa stejini na pia madansa wazuri hilo linamshusha maana aliwaaibisha fiesta ya kigoma jana.

alibakuli anatumia akili ya kuanzima siyo bure .
 
Kutembea mguu ndo inalogic?umekua speed meter unacount movements za mtu,?sibishani na toroli huendi mpaka ushikwe nyuma.........

utakuwa umekimbia milembe wewe hivi akili zako.ziko vizuri kweli unabwabwaja hapa kumtafutia kibakuli umaarufu kamwe hawezi pata ?????huyo .....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…