Jamani special thread ya mfalme hii hata kutupiemo tupicha mmegoma?
Kwakuwa na wale washabiki wa domo tunao humu wanatupetipeti basi na wao sintowasahau.
EEeh huo umbea wa bikra wa kisukuma nausikiaga tu juu kwa juu, iv na yeye ndo wale wale? Nasomaga articles zake insta yuko vzur, ila na sura yake nzito kama tope la uyole atampata nani?
Wapi huko ita ofm!Kuna mtu nataka kumu Arrest hapa......amempa demu halafu mwanafunzi flagly atolee mimba.Huyo mtoto ameshakunywa vidonge 4,me npo ndani hapa nawasikia wakiongea.
Kimya kingi kina mshindo, halafu Mrembo by Nature jioni unahitajika jukwaan, unajua nimemis umbea? Halafu nina maubuyu had naumwa, siku izi akina Dinazarde siwaoni au ndo mmeshaacha umbea nitafute wakala wengine? Maana siku izi naona mnajifanya hampendi umbea kabisa ooh
It sound superb .... Team zinapaswa kuwa name mawazo haya ya kuwainua wasanii na kiwapa mbinu zaidi...
BTW mwambie kiba nampenda alivyo anaonekana kijentromeno yanii mhhh
....naomba moja
Wapi huko ita ofm!
Kimya kingi kina mshindo, halafu Mrembo by Nature jioni unahitajika jukwaan, unajua nimemis umbea? Halafu nina maubuyu had naumwa, siku izi akina Dinazarde siwaoni au ndo mmeshaacha umbea nitafute wakala wengine? Maana siku izi naona mnajifanya hampendi umbea kabisa ooh
Tupishe apa, ndomo my foot, kiba ndo habar ya mujini, na bado juzi tumemzoea kesho tunamwagia tindikali, mbona ataipenda
Kuna mtu nataka kumu Arrest hapa......amempa demu halafu mwanafunzi flagly atolee mimba.Huyo mtoto ameshakunywa vidonge 4,me npo ndani hapa nawasikia wakiongea.
EEeh huo umbea wa bikra wa kisukuma nausikiaga tu juu kwa juu, iv na yeye ndo wale wale? Nasomaga articles zake insta yuko vzur, ila na sura yake nzito kama tope la uyole atampata nani?
Nipe location tumnyatie fastaa kabla mtu hajazima
Unae fikilia kuwa fiesta ndo itamfanya huyo kiba wako awe kama diamond utasubili sana labda huyo kiba wako aombe tena Al- Kelly amwite kwenye wimbo mwingine wa maombolezo lasivyo atabaki na kelele za walevi wa fiesta
Unae fikilia kuwa fiesta ndo itamfanya huyo kiba wako awe kama diamond utasubili sana labda huyo kiba wako aombe tena Al- Kelly amwite kwenye wimbo mwingine wa maombolezo lasivyo atabaki na kelele za walevi wa fiesta
Umenena point muhimu sana
jaman team domo simpite hivi mnafanya nn humu!!!???this znt your place