Naisubiria kwa hamu hiyo collaboration naona itakuwa balaa tupu, naona majirani wameashaanza kulia lia.
Though kati ya WizKid na Davido mimi namkubali zaidi WizKid ila haina maana kwamba tusifanye collabo na Davido...
Tunaanza na Davido then WizKid anafuatia.
#TutaheshimianaTu
Weeee, sitaki kusema tena maana itakua hatariiiii.kama nakuona vile nifah
ya wizkid ipo pia tunaanza na hiyo then bella saut sol
stanley from cameroon kwishaaaaaa
Naisubiria kwa hamu hiyo collaboration naona itakuwa balaa tupu, naona majirani wameashaanza kulia lia.
Though kati ya WizKid na Davido mimi namkubali zaidi WizKid ila haina maana kwamba tusifanye collabo na Davido...
Tunaanza na Davido then WizKid anafuatia.
#TutaheshimianaTu
ya wizkid ipo pia tunaanza na hiyo then bella saut sol
stanley from cameroon kwishaaaaaa
Majirani inabidi wajiandae kisaikolojia tu maana gharika linalokuja huko tutatafutana humu.ya wizkid ipo pia tunaanza na hiyo then bella saut sol
stanley from cameroon kwishaaaaaa
mkuuu mi si nilisema kiba ni mpole hadi anatuuumiza mashabiki mfano collabo ya sautsol hajawahi post saut sol nda wanapost wanasema tuna collabo na kiba ila mkuu usijali
NZI HAWEZI KUTOA ASALI HATA ALISHWE GUNIA MIA ZA SUKARI..
Mnafikiri collable ndio kilakitu kibakuli hana jipya kama alifanya na R kelly na davido ndio itakuwa na nin???
palaso kaimba na davido mwaka huu nyimbo imefika wap??
radio na weasel wameimba na wizkid nyimbo imefika wapi??
MTANYOOKA TU!!
Davido mwenyewe anasanda kwa dangote katoa wimbo na meekmill lakini bado NANA ndio habari ya AFRIKA 3 NOMINATIONS WIMBO MMOJA UMEMZIDI HADI DAVIDO MWENYEWE
Hajiamini tatizo
anataka ajitutumue ashindane na Dangote wakati uwezo hakuna anabaki kusitasita kwasababu anaona kazi itafunikwa, kama alivyokuwa anaogopa kutoa madudu ya chekechua
MSUBIRI DAVIDO FT. DIAMOND MWEZI UJAO
NYINYI MNAPIGA MAGOTI KUOMBA
SISI WANATUBEMBELEZA KUTUSHIRIKISHA
Hayo ndo mambo tunayo yataka hapa na sio mbwebwe. Naona wameshaanza kuponda tayari eti kumpangia kiba asifanye na Davido.Naisubiria kwa hamu hiyo collaboration naona itakuwa balaa tupu, naona majirani wameashaanza kulia lia.
Though kati ya WizKid na Davido mimi namkubali zaidi WizKid ila haina maana kwamba tusifanye collabo na Davido...
Tunaanza na Davido then WizKid anafuatia.
#TutaheshimianaTu
Kweli diamond n icon wa tz hadi Ali kiba Ana penda kumuiga diamond diamond alitoka n jokate Mara kiba huyo n jokate, video diamond kwa godfather Mara kiba nae huyo kwa godfather diamond collabo n davido kiba nae huyo collabo kwa davido but whyyyyyy am so wandaz royal family ππππ
Naisubiria kwa hamu hiyo collaboration naona itakuwa balaa tupu, naona majirani wameashaanza kulia lia.
Though kati ya WizKid na Davido mimi namkubali zaidi WizKid ila haina maana kwamba tusifanye collabo na Davido...
Tunaanza na Davido then WizKid anafuatia.
#TutaheshimianaTu