Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Naisubiria kwa hamu hiyo collaboration naona itakuwa balaa tupu, naona majirani wameashaanza kulia lia.
Though kati ya WizKid na Davido mimi namkubali zaidi WizKid ila haina maana kwamba tusifanye collabo na Davido...
Tunaanza na Davido then WizKid anafuatia.
#TutaheshimianaTu
Though kati ya WizKid na Davido mimi namkubali zaidi WizKid ila haina maana kwamba tusifanye collabo na Davido...
Tunaanza na Davido then WizKid anafuatia.
#TutaheshimianaTu