Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
duuuh!!! vya hivyo tena?? nijikute nimependwa na KE mwenzangu, nitatokaje ndukiiiiii
Acha ushamba wewe...
Kwani huna dada au ndugu wa kike???huwapendi?unawaza uchafu tu muda wote....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duuuh!!! vya hivyo tena?? nijikute nimependwa na KE mwenzangu, nitatokaje ndukiiiiii
Toka wameanzisha uzi sijaona ushauri zaidi ya wanataka wapige dili la tisheti kwa kutumia jina la kiba hhhhaaaaa
Acha ushamba wewe...
Kwani huna dada au ndugu wa kike???huwapendi?unawaza uchafu tu muda wote....
Usijali mamii,niko imara nalitambua hilo...kama nimeweza kumpotezea yule babu mwenye mdomo kama feri huyu hanipi shida
Umuonee huruma wewe kama nani???umesikia anaitaka huruma yako?kwanza hebu tuache bwana tumjadili Kiba wetu hii sio sehemu ya kubishana bali ni sehemu ya kujadili ni jinsi gani tunaweza kum support Kiba sisi mashabiki wake hapa JF....
Nahisi mwalimu wako alipata shida sana maana unachanganya mambo vibaya sana
ngoja! ngoja! ngoja! nihesabu post zako toka huu uzi uanze unioneshee ni post ipi uliotoa ushauri kwa kiba zaidi ya kupiga apeche alolo hapa, keleleee tuuuuu kama baa za magomeni, toka hii thread ianze zaidi ya tshet sijaskia kitu kingine,kelele, kelele, kelele kama nzi wa dampo.
embu jifunzeni kwa mondi jamani nawaambia tena tena wala msione aibu, najua kiba ni mkongwe na anajua kuimba afanye kaziii aache mafanikio yapige kelele yenyeweeee jamaniiiii waai!! sijui ni kwanini mmekuwa wazito kuelewa kuliko gunia la misumari.
Sisi mashabiki wa Ali Kiba hatutaki magazeti yenu humu, uzi huu maalumu kwa King wetu na sisi fans wake.Kwenye uzi huu hatuhitaji matusi yenu. Please please vitorondo hatuhitaji matusi humu.
Toka wameanzisha uzi sijaona ushauri zaidi ya wanataka wapige dili la tisheti kwa kutumia jina la kiba hhhhaaaaa
Jamani ukitaka kufanikiwa we mdis diamond utatoka tuuu! Haya mr nice, na wengineo mlopotea tumieni maujanja ya kiba!
Kweli hujaona ushauri waliotoa wadau wengine?au ni hadi niutoe mimi ndio uone ni ushauri???
Hahahaaaa
nisaidie kushangaa wangu, thread imeshafika page ya 35 sasa, post zao ni kiba 4 real, i love u kiba, kiba the king, kiba ana sura ya upole, mi nakuambia kuliko uwe na mashabiki type hii ni bora uwe na wale panya road
Sijaona mamiii
Sisi mashabiki wa Ali Kiba hatutaki magazeti yenu humu, uzi huu maalumu kwa King wetu na sisi fans wake.Kwenye uzi huu hatuhitaji matusi yenu. Please please vitorondo hatuhitaji matusi humu.
Utaonaje wakati unawaza negativity tu no positive mana topic yajieleza kabisa why using a lot of energy just to justify ua boss kizuri kinajiuza chenyewe yeye si famous why kutumia nguvu
kuwa na mashabiki wa kibongo ni kujiua njaa tu. wanataka muziki wa kununua kwenye vibanda vya "Tuna burn music hapa" ambavyo msanii hafaidiki navyo. ingekuwa angalau robo tu ya wale wanaomshabikia Kiba wananunua kazi zake kwa uhalali basi angefaidika sana. asipoligundua hili ataishia kwenye fiesta kumnufaisha Ruge wakati wenzake wenye akili wanatafuta masoko USA na Europe.
Sisi mashabiki wa Ali Kiba hatutaki magazeti yenu humu, uzi huu maalumu kwa King wetu na sisi fans wake.Kwenye uzi huu hatuhitaji matusi yenu. Please please vitorondo hatuhitaji matusi humu.
Hhhhhaaaa kwanini mnatumia nguvu??
Hivi Kiba ana tuzo ngapii vilee CC Paula kilaki
Wee toa maushaurii bana