Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Hahahaaaaa wanaoswali hawajitangazi bibi....swala ni jambo la siri...kiruuu unadhani ni nani ambaye haswali sasa???
Eti hutaki kupandisha joto la mwili kilichokuleta nini?ulitaka ligi umeona maji marefu unasingizia swala...kama wewe hamsa salawat si ungekua unajisomea zako Quran tukufu saa hizi????
Kwendraaaaaaaaaa na usirud tena baradhul wewe

Unanikunaga ambapo mkono haufiki......
 
Tuna tofauti kubwa sana, wao wanasifu kuhonga na ukicheche, lakini sisi tunamsifu Kiba kwa uwezo wake kimuziki.
Hamtuelewi kwa sababu ya hii tofauti, labda muende kwenye jukwaa la mahusiano ndo mtapata wa kuelewana nao.
Ova
 
Tuna tofauti kubwa sana, wao wanasifu kuhonga na ukicheche, lakini sisi tunamsifu Kiba kwa uwezo wake kimuziki.
Hamtuelewi kwa sababu ya hii tofauti, labda muende kwenye jukwaa la mahusiano ndo mtapata wa kuelewana nao.
Ova

Aiseee wewe mtu una akili sana,nadhani point yako imemaliza kila kitu nikiongezea nitaharibu
 
Hahahaha!!! Hahahaha!! Kamfundishe mondi jinsi ya kuandika maana barua ya kuomba msamaha tena kwa jeshi ameanza na dear.. Duh???? Sijui itakuaje

Hahahaaaaa umenichekesha hatari...eti nini????kawaita wanajeshi dear???asijeongezewa adhabu masikini
 
GRAN PA uko wapi? Unajua wakoloni waliona mbali sana, walitaka watu weusi wasijue kusoma wala kuandika, wao kazi yao ni kula mikwaju tu na kulima kutwa nzima. Waliyajua yote haya, watu weusi wakijua kusoma na kuandika tu kosa. Kutwa kuandika utumbo tu.
 
GRAN PA uko wapi? Unajua wakoloni waliona mbali sana, walitaka watu weusi wasijue kusoma wala kuandika, wao kazi yao ni kula mikwaju tu na kulima kutwa nzima. Waliyajua yote haya, watu weusi wakijua kusoma na kuandika tu kosa. Kutwa kuandika utumbo tu.

Hahahaaaaa ujue nimeshangaa sana sijakuona kwenye hii thread tokea juzi???haya karibu unasemaje?
Nikuonye kama wewe ni shabiki wa ndomo Hakika hapa sio sehemu sahihi kwako....
 
Nifah na mimi umenigeuka jamani?haya ngoja ntulie nfuatilie mpambano

Tatizo wewe nawe hueleweki mara mguu nje mguu ndani...wakija maadui unaungana nao wakiondoka unajidai mwenzetu.....
 
Hahahaaaaa ujue nimeshangaa sana sijakuona kwenye hii thread tokea juzi???haya karibu unasemaje?
Nikuonye kama wewe ni shabiki wa ndomo Hakika hapa sio sehemu sahihi kwako....

We unatumia energy sana kwenye mambo kama haya, kila kitu unakichukulia personal sana humu. Mi sishabikii ujinga, lakini napenda sana muziki na hiyo bongo fleva nasikiliza sometimes tu.
 
Hahahaha!!! Hahahaha!! Kamfundishe mondi jinsi ya kuandika maana barua ya kuomba msamaha tena kwa jeshi ameanza na dear.. Duh???? Sijui itakuaje

Ha ha ha ha atakua aliteleza tu ukichangia na panic ya fiesta na kuitwa na wajeda mchezo
 
Tatizo wewe nawe hueleweki mara mguu nje mguu ndani...wakija maadui unaungana nao wakiondoka unajidai mwenzetu.....

Tatzo me ctaki tupoteze time kuzungumza juu ya diamond,kurushiana maneno,basi nakunywa maji ya bendera sasa hivi nami ntaanza kuporomosha
 
Tatizo wewe nawe hueleweki mara mguu nje mguu ndani...wakija maadui unaungana nao wakiondoka unajidai mwenzetu.....

Huu uzi mrefu sijasoma wote,nimesema mkito nkimaanisha downloads ziko juu za ally k mpaka mtandao ulibuma mbna unantoa kafara binti wee😱
 

We unatumia energy sana kwenye mambo kama haya, kila kitu unakichukulia personal sana humu. Mi sishabikii ujinga, lakini napenda sana muziki na hiyo bongo fleva nasikiliza sometimes tu.

Laiti ungekua ninavyorelax!!!nitumie energy kwenye suala rahisi kama hili je panapohitaji nguvu nitatumia nini???
Kama haushabikii ujinga huyo mwenzio ulikua unamuita aje kufanya nini???
 
Tatzo me ctaki tupoteze time kuzungumza juu ya diamond,kurushiana maneno,basi nakunywa maji ya bendera sasa hivi nami ntaanza kuporomosha

Hivi unanishauri nini?wakija watu kutuchefua humu niwaache tuu??hebu nipe maoni yako....wala usijilazimishe...hii kitu inahitaji nature
 
Back
Top Bottom