miss_jackie
Member
- Sep 29, 2014
- 27
- 6
Kiba namkubali sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nikujibu mrembo King'asti kwa niaba ya wenzio woooote wanaouliza hilo swali...
Hivi wakati Ali Kiba ana hit na cinderella,nakshi nakshi,dushelele n.k alitegemea anguko la nani?alitoka kivyake tena bila hata ya kutegemea skendo tulimjua na kumpenda sana...sasa iweje leo ategemee 'anguko' la diamond?kwa hiyo sasa mtu asitoe wimbo wake kisa kuna diamond?wenyewe wala hawataki ugomvi ni sisi mashabiki tu ndio tunaochochea
Ulitizama show yake kwa sporah?alisema amepambanishwa na watu wengi sana sio Kiba tu....iweje mumng'ang'anie yeye tu?tuache kazi zao ziongee jamani...aliyekua bora atajulikana kwa kazi zake...
yaani wewe ni kichwa cjui km unalitambua hilo!
anashindana na upepo na roho inamuuma kuona
kuna mtu mwenye akili kaanzisha uzi km huu upo active hauchuji
kuutwa na vithread vyao uchwara jasho linawatoka
wanaanzisha thread mia comment nne
haloooooo
Hakuna mshabiki wa muziki anayejitambuwa ambaye anaweza kufunga safari kwenda Coco beach kwenye matamasha ya mchana tena ya dezo.
napita tuuu
Hii thread itaua watu jamani.....😀😀😀
wanaumwa sana haooo
wanachomwa sana haoo
wanawayawaya km ng'ombe aliyekosa mchunga
wataisoma namba japo kimyakimya
Hahaaaa ahsante sana Diva bey....sasa hivi tunajibu kwa facts tu no time to argue
unadhani hawaisomi basi?kusudi tu wanajitoa fahamu....
ni kweli aisee mana wengine wanakuja ila kuchange topic wasiopenda wengine wasifiwe chao tu ni bora
Ngoja nikujibu mrembo King'asti kwa niaba ya wenzio woooote wanaouliza hilo swali...
Hivi wakati Ali Kiba ana hit na cinderella,nakshi nakshi,dushelele n.k alitegemea anguko la nani?alitoka kivyake tena bila hata ya kutegemea skendo tulimjua na kumpenda sana...sasa iweje leo ategemee 'anguko' la diamond?kwa hiyo sasa mtu asitoe wimbo wake kisa kuna diamond?wenyewe wala hawataki ugomvi ni sisi mashabiki tu ndio tunaochochea
Ulitizama show yake kwa sporah?alisema amepambanishwa na watu wengi sana sio Kiba tu....iweje mumng'ang'anie yeye tu?tuache kazi zao ziongee jamani...aliyekua bora atajulikana kwa kazi zake...
uleushauri wa kuprint T shirt umeishia wapi?? nataka nitupiemo TshirtEl nino waraka wako mrefuuu!Ila wala haukuitwa hapa kujaribu kujustify kuwa mondi yupo juu,kati au chini!!Hapa bila kujali nafasi mliompa Kibaznsie mashabiki zake kwa roho moja tumeamua kumpenda kumtia moyo na kumpa ushauri,so mambo ya Diamond peleka hukooo kwenye thread yenye comment tano,ungesaidia sana...
uleushauri wa kuprint T shirt umeishia wapi?? nataka nitupiemo Tshirt
el nino waraka wako mrefuuu!ila wala haukuitwa hapa kujaribu kujustify kuwa mondi yupo juu,kati au chini!!hapa bila kujali nafasi mliompa kibaznsie mashabiki zake kwa roho moja tumeamua kumpenda kumtia moyo na kumpa ushauri,so mambo ya diamond peleka hukooo kwenye thread yenye comment tano,ungesaidia sana...
uleushauri wa kuprint T shirt umeishia wapi?? nataka nitupiemo Tshirt
Mwisho leaders,,,,,,