Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watu wanaomchukulia poa ali kiba wanafeli sana...sometimes wajiulize huyu kiba ana nini na kwanini?haiwezekani ngoma yake moja tu ya mwanadar es salaam ilete usumbufu hivi mjini!tena inawakosesha raha zaidi washabiki wa jamaa ambaye keshatoa ngoma nyingi sana wakati kiba akiwa hayupo active katika game!na huyo jamaa keshatumia mamilioni kuukuza music wake lakini ngoma moko tu yenye gharama ndogo kabisa iliyofanywa na man walter inaleta disturbances....
muuza sura allow me to kiss u mwaaaaahhhh..n!!!
upo km kakakuona vile...!!
yaaani unaandikaga kishkaji but content inakua imeeleweka
yaani mara nyingi ukikoment mi lazma nifurahi!
Another kiss from me jaman....muuza sura allow me to kiss u mwaaaaahhhh..n!!!
upo km kakakuona vile...!!
yaaani unaandikaga kishkaji but content iinakua imeeleweka
yaani mara nyingi ukikoment mi lazma nifurahi!
Another kiss from me jaman....
Na uzuri wake Comment zake zipo fair sana nyeusi anaita nyeusi na nyeupe anaita nyeupe.
watu wanaomchukulia poa ali kiba wanafeli sana...sometimes wajiulize huyu kiba ana nini na kwanini?haiwezekani ngoma yake moja tu ya mwanadar es salaam ilete usumbufu hivi mjini!tena inawakosesha raha zaidi washabiki wa jamaa ambaye keshatoa ngoma nyingi sana wakati kiba akiwa hayupo active katika game!na huyo jamaa keshatumia mamilioni kuukuza music wake lakini ngoma moko tu yenye gharama ndogo kabisa iliyofanywa na man walter inaleta disturbances....
Awesome!kuna ile picha yake nyingine katinga tshirt ina sura yake,ni nzuri kweli...ivi Matola mbona hautoi update..
huyo mbonaa team dai muda mrefu
by the way
matola kaongea points kweli jamani tunaomba wale mnaomfahamu aly k mwambieni aje huku wengine tulikua tunapondwa sana
nyuzi kibao za kuponda mwanadarsalam
Somji Juma please contact na kiba tupate kumsapoti
mi tshert ntannua yangu na ya mme wangu na mtoe na za watoto niwataftie wanangu tafadhali
humu team kiba
km humpendi pita kuleeeeee
thnx ntawacheki for sure tishert lazma mwaka huu mpaka mkae
ipo siku mtatupenda
Hiyo namba ya Kiba mamii