Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Kinyongo cha nini?sisi dugu moja,familia moja atakayepata hongera zake siku zinaenda

Twajenga nyumba moja ya nini kugombea fito?ataepata bahati yake,ila sijui barabara ya pili hawataiga!!najiuliza kwa kuwaza.
 
Ujue Matola huyo jamaa muanzilishi wa thread ya mtaa wa pili namuonaga ana swaga flani hivi za kizee ndio maana hua sitaki kubishana nae kabisa....heshma kwa wazee ipewe kipaumbele jamani
Maneno ya kukata tamaa haya,na inaonekana una stres wewe ha ha ha haya hongera wewe mwenye swaga za ujana.
 
kiba hashindani ila anashinda yaani magoli ya mbali ya bila zoezi kimbiza hao mpaka wApitilize kwao.mwenyekiti amekalia kiti chake single moja wamepiga kelele laki moja

Kiba hana presha,we waache hao hawajui mpiga ngumi ukutani huumiza mkonowe.
 
Ivi wewe Mmachingaaa!naomba nikuulize,Shkamoo lakini??Ivi wewe una utani na Ally ?'
 
Jamani?naona wa mtaa wa jirani anataka kushinda Complimentary!!mhuuu nimemstukiaaa!!Laziiiima wajeee,na hii igeni!!
 
team domo si mkae kwenu mnakuwa wazururaji tu moja haikai mbili haisimami,haya ushajua kinachoendelea huku peleka salam kwenu,kantangaze hiyo.
 
kunajiri nini jamani humu? i was sooo busy today jaman kumbe tulitembelewa na majirani? Thats y i love you guys response yenu imenihamasisha, guuud go go go go kiba, kiba mstaarabu na mashabiki wake pia wastaarabu, tuko nawe miaka miaa, nifah mimi mithi wewe
 
Last edited by a moderator:
Mhuuu!!yani mie mwenyewe naitamaniiii...hata Chinga anaitamani we utamwona tu
 
Mhuuu!!yani mie mwenyewe naitamaniiii...hata Chinga anaitamani we utamwona tu

naomba muongozo kwani nae anahusika kwenye yaliyomo yamo?? maana namuona tuu anavyonusa anasubiri kiive akaribishwe, hachezi mbali ati
 
Back
Top Bottom