Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaa nikadhani kakukataza jamani maana hujawahi kupotea hivi..
Ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!Usihofu mamie kwa Ally tuko pamojaAmepotea sana kwa kwelii!!Ila I'd ya mpendwa wangu iyo initial yake inaniumiza roho!!
Mwenyewe wamenikeraje hawa mi nilishaandaa pozi au wanataka kutufanyia uhuni nini siwaamini kabisa
Subiri jioni saa11, Escrow ni balaa linamgusa mpaka tezi dume na serikali ni lazima ianguke tena, na Laigwani mamvi kawapanga vijana wake ipasavyo wanashambulia kama nyuki.
Muulize kwann yamuumiza roho?Sijakuelewa mpenzi hebu nifafanulie vizuri
Subiri jioni saa11, Escrow ni balaa linamgusa mpaka tezi dume na serikali ni lazima ianguke tena, na Laigwani mamvi kawapanga vijana wake ipasavyo wanashambulia kama nyuki.
Nimekasirikaje???nilikua nimeshaandaa na vifaa kabisa,aarrrgh
Ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!Usihofu mamie kwa Ally tuko pamoja
Mbivu na mbichi kujulikana leo!Tusubiri saa 11jioni,pia tuwaombee vijana wetu wa kamati ya PAC ujasiri !Umepotea sana,looh
Mimi pia nataka nihamie huko ila sasa hivi naona ni mambo ya maji na uvuvi,Escrow ikianza tu natia timu na mimi
Muulize kwann yamuumiza roho?
Yani we acha hafu Tanesco walivo na sifa jioni ole wao wakate umeme
Mbivu na mbichi kujulikana leo!Tusubiri saa 11jioni,pia tuwaombee vijana wetu wa kamati ya PAC ujasiri !
'Usimuamini mwana siasa yeyote hata waupinzani'-Zitto KabweHili suala ni balaa,kila mtu atabeba msalaba wake,aisee
Hahahaaaa eti tezi dume
Jamani nilikua namuamini na kumpenda prof. Anna Tibaijuka sijui imekuwaje na yeye pia yumo,dah!
Hawezi huyu kibabu kizee mie tena kwa kiba ni Sawa na kigoma mwisho wa reli ninavo mkubali uwiiiiiii na masongi yake
Aisee itabidi nijiandae kimchina changu kiwe full charge hata wakikata nitafuatilia hapa JF
Ha ha ha haaaaaaaaaaa!Shukrani kwa Ally Kiba kwa kutuunganisha CCM na UKAWA!Hakuna cha zaidi ya hiyo ID yako vs UKAWA
Ha ha ha haaaaaaaaaaa!Shukrani kwa Ally Kiba kwa kutuunganisha CCM na UKAWA!
Ha ha ha haaaaaaaaaaa!Shukrani kwa Ally Kiba kwa kutuunganisha CCM na UKAWA!