Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utakuwa umechelewa maana zimeshajiconnectisha, alafu mie wananitenga hata hawaniambii ile kitu(bado nimewamind)
Babu alitakaga amwopoe Diva,uwiii sijui ingekuwaje!!
hata cjui, hebu ngoja niweke cmu chini nihesabu vidole
geniveros nimekumiss mimi!na atoto pia(najaribu kukuchokoza kimya!)buku nin fc!missed
hahaa km namuona diva ndani ya kumbato la babu shemeji
utakuwa umechelewa maana zimeshajiconnectisha, alafu mie wananitenga hata hawaniambii ile kitu(bado nimewamind)
a photo can speak thousand languge.
mpenzi nipo majukumu tu yananizonga nawamiss kweli
Kwi kwi kwi!!Kwa matusi ambayo tunapakwa chini ya baraka za babu aisee hapa hapati mke wala mchepuko!!Ole wako Diva utoe number yako kwa Babu!
Khaaa!wewe mtoto acha uongo jamani!!!!
Lako hilo bibie
Babu alitakaga amwopoe Diva,uwiii sijui ingekuwaje!!
Pole mummy!Leo najaribu kufanya Kiba's fans lov connect btn Atoto n Mdakuzi!sasa Mdakuzi akiwa kaoa ntaliajee!!
Nilichompendeaga Wema ni kuweza Kumfundisha kingereza huyu mswahili wa Tandale bila kwenda English course kwa hilo nampa credit zake maddam upuuzi mwingine huo ni side effect za kulelewa na single Mother asiyekuwa na maadili.Hahahaaa unasemaje wewe? Matola anampenda wema hatariii
Shauri zako wewe mponde tu hapa mbele yake
Hata napenda agonge kisawasawa lakini siyo hawa reject materials.Weee!Basi pole yakeee!!Ila bwana sio sawa kumpangia yule dogo mtu wa kumpenda mwacheni abemendwe nasikia alikataliwaga sana sana!so anakomeshea nw!