Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Polee,anza taratibu maana tunakimbiza kwelikweli....
Chezea mimi na atoto wewe?

hahahaaa hapana chezea sie kabisaa, mahaba nipeleke u-tube nikaulizie mwana yuko wapi, haaaahaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Mimi kuna siku mlini-abandone kama kikuku yani kuna mandondocha yalivamia hapa!!sikumwona nani wala nani!!ha ha ha!mpaka wakanambia unakomaa tuu wenzio wenye akili wamesusia uzi!!ha ha nkawaambia mpo bizi kuzisaka!!nlihenyeshwaje!!

poleeeeee mtoto mzuri, wewe na nifah mwasakwa kweli mnawanyima ucngizi km kiba, hahaaaa ila all in all mwendo mdundo twaserebuka tu na mwana
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom