Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

nenda zako huko umeitwa huku dume unakuwa na mambo ya kike sasa domo hizo nguo alivua lengo kake ni nini ? domo ndi linamambo ya kike linandika mipasho,vujembe,nafumbo,ana muandikia hadi zari hivi unatumia insta isijekuwa unakesha jf halafu unabisha watu insta ndo kila kitu

Weeewe ndio unamtazamo potofu sasa wewe kuvua kwake nguo kunakuuma nini?? Alivua ni moja ya mwembwe tu but wewe kama umetafsir kilocal local utabaki hivyo hivyo...
Nipo insta na nmeiona hiyo vdeo kiba akisema amefikisha mwaka..
 
We wema alimpost Mara ngapi kiba ktk tuzo za ktma acha uzezeta we n hii ishu imetolewa n team wema wamemainidi sn mnashidwa kula n kipofu

Pointless.
Hapo unakaribia kitrooonga ama nene jirani?😀😀😀
 
Weeewe ndio unamtazamo potofu sasa wewe kuvua kwake nguo kunakuuma nini?? Alivua ni moja ya mwembwe tu but wewe kama umetafsir kilocal local utabaki hivyo hivyo...
Nipo insta na nmeiona hiyo vdeo kiba akisema amefikisha mwaka..

Ila shemeji sio siri, hapo d alibinuka vizuri jamani. cute b huwa unamwinamisha ivo?
 
Last edited by a moderator:
Ila shemeji sio siri, hapo d alibinuka vizuri jamani. cute b huwa unamwinamisha ivo?

Shem...shem...
Kweli hapo dai alizinguaaa..but huu ushabik unajikuta unatetea ujinga

Atajibu mwenyewe cute b
 
Last edited by a moderator:
ndo maana nampenda kiba aise haigi maisha ya watu yule

toka nimfollow kiba insta hajawahi post mali zake leo ndo kapost yupo kwenye gari ndani tena hata gari huwezi jua ni gari gani #itakuwa bajaji ile lakini pesa ya noah kiba atatoa wapi #kiba usifeki maisha bro tunakupenda saanaaa

Unashidwa kujua gari gani ili au ujui magari
 

Attachments

  • 1437758453514.jpg
    1437758453514.jpg
    36.9 KB · Views: 78
We wema alimpost Mara ngapi kiba ktk tuzo za ktma acha uzezeta we n hii ishu imetolewa n team wema wamemainidi sn mnashidwa kula n kipofu
wema ndo nani kwani kiba si kaanza kufanya mziki bila sapit yake we vp ww kiba katoka mwenyewe kimziki hajabebwa na skendo wala wema
 
wema ndo nani kwani kiba si kaanza kufanya mziki bila sapit yake we vp ww kiba katoka mwenyewe kimziki hajabebwa na skendo wala wema

Zile tuzo za ktma n msaada wa wema unabisha nn
 
Weeewe ndio unamtazamo potofu sasa wewe kuvua kwake nguo kunakuuma nini?? Alivua ni moja ya mwembwe tu but wewe kama umetafsir kilocal local utabaki hivyo hivyo...
Nipo insta na nmeiona hiyo vdeo kiba akisema amefikisha mwaka..
sumbai si ilikuwa inabisha mkuu huo ni ushahidi sasa ukubli hayo mengine hayanihusu si ulikuwa unabisha ww this is jf
 
Last edited by a moderator:
Weeewe ndio unamtazamo potofu sasa wewe kuvua kwake nguo kunakuuma nini?? Alivua ni moja ya mwembwe tu but wewe kama umetafsir kilocal local utabaki hivyo hivyo...
Nipo insta na nmeiona hiyo vdeo kiba akisema amefikisha mwaka..
sasa ngoja nizame u tube nilete hiyo video mana bado huamini wewe

#tushanyooka tayari
 
Zile tuzo za ktma n msaada wa wema unabisha nn
sawa ila hatuzirudishi

kashtaki tatizo nyie sujui mkoje yule meneja wa domo salaam sk akisema management ya kiba anaiba nyimbo zake anaziuza sasa kashtaki unganisha na hiyo kesi ya tuzo tulizoiba nendeni mahakamani sawa kedrick
#tushanyooka
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom