Ali Kiba hapa kwa Dulla umefeli kabla ujaanza

Ali Kiba hapa kwa Dulla umefeli kabla ujaanza

Shida ya wasanii wengi wa bongo hawana wanachokiweza.

Kila jambo analolifanya Diamond na wao hupenda kuiga.

Siku Diamond atakapoacha muziki ndipo muziki wa Tanzania utakufa rasmi maana wasanii tulionao hawana wanachokijua mpaka Diamond afikirie kwa niaba yao.
Mkuu samahani naomba kuuliza eti una umri gani?
 
Shida ya wasanii wengi wa bongo hawana wanachokiweza.

Kila jambo analolifanya Diamond na wao hupenda kuiga.

Siku Diamond atakapoacha muziki ndipo muziki wa Tanzania utakufa rasmi maana wasanii tulionao hawana wanachokijua mpaka Diamond afikirie kwa niaba yao.
Who is diamond kwamba aki dead na mziki wa bongo una dead?
 
Shida ya wasanii wengi wa bongo hawana wanachokiweza.

Kila jambo analolifanya Diamond na wao hupenda kuiga.

Siku Diamond atakapoacha muziki ndipo muziki wa Tanzania utakufa rasmi maana wasanii tulionao hawana wanachokijua mpaka Diamond afikirie kwa niaba yao.
Mwanangu ww ni Papuchi kinyama aisee, unataka kutuaminisha kuwa new idea zote kwenye mziki wa Tz zinaletwa na Di? Acha kukariri maisha, ngeke ww. Zaidi ya umaarufu hakuna anachokiongeza kwenye alama ya mziki wa Tz.

Kama kweli Di anajua mziki, mwambie atengeneze mziki wenye culture ya kitanzania then wanigeria, SA waige mziki wetu kama yeye anavyoiga wakwao.
 
Mwanangu ww ni Papuchi kinyama aisee, unataka kutuaminisha kuwa new idea zote kwenye mziki wa Tz zinaletwa na Di? Acha kukariri maisha, ngeke ww. Zaidi ya umaarufu hakuna anachokiongeza kwenye alama ya mziki wa Tz.

Kama kweli Di anajua mziki, mwambie atengeneze mziki wenye culture ya kitanzania then wanigeria, SA waige mziki wetu kama yeye anavyoiga wakwao.
Niambie mwanamuziki gani grade A au wale grade B na hata baadhi ya grade C ambao wamefanya kitu kikubwa ambacho hawajaiga kutoka kwa Diamond.
 
Niambie mwanamuziki gani grade A au wale grade B na hata baadhi ya grade C ambao wamefanya kitu kikubwa ambacho hawajaiga kutoka kwa Diamond.
Huyu anaeiga kwa wanaigeria? Hii bongo fleva Diamond kaikuta na hajaleta idea mpya ya huu mziki zaidi ya kucopy mziki wa watu,

Narudia hakuna kitu kipya alichokileta diamond kwenye huu mziki
 
Huyu anaeiga kwa wanaigeria? Hii bongo fleva Diamond kaikuta na hajaleta idea mpya ya huu mziki zaidi ya kucopy mziki wa watu,

Narudia hakuna kitu kipya alichokileta diamond kwenye huu mziki
Diamond ni role model wa wasanii wote hapa bongo.

Kuanzia life style yake, namna anavyojibrand nk.

Hata masuala ya digital platforms yeye ndiye aliyewasanua wenzake ambao huko mwanzoni walikuwa wanategemea show ili wasurvive na labda kwa mbali mauzo ya albamu zao ambapo napo wanapigwa panga na wasambazaji.

Hata kutembea na ulinzi siku hizi imekuwa fashion lakini wameiga kutoka kwa Diamond Platnumz.
 
WaTanzania kitu hawapendi kusikia ni ukweli, yaani ukweli unawauma sana kiasi kwamba wanasahau hata kujibu kwa facts wanaishia kutukana.

Wasanii wa bongo 99% katika usimamizi wa biashara ni TAKATAKA, wachache sana waliofanikiwa hapa nao hawafiki hata 3 Tanzania nzima.

Huwa nashangaa watu wanavyotukana pindi alikiba na wasanii wengine failure wanapoambiwa ukweli, kiufupi kumtumia msanii ambaye issue zake mwenyewe zimemshinda kuzipush huo ni ujinga na kuharibu biashara.

Ni vile tu maisha ya Tz yanaenda kwa kiki na skendo chafu ndioamaana madili mengi hupewa watu wapuuzi na wasio na uwezo wowote zaidi ya kuibua kiki ambazo hao wafanyabiashara huzitumia kusukuma kazi zao, lkn nje na hapa ni kuharibu mambo.

Akina alikiba,harmonize,rayvan sijui mwijaku na takataka zingine hawa kazi za kupromote na kupush madeal wangeachana nazo maana mambo yao wao wenyewe yamewashinda, je wataweza kusukuma issue za wengine?

Tanzania tuna mchezo sana na hatupo siriazi ktk mambo ya msingi ndiomaana hatujali mambo ya maana tunawaachia wajinga wayaendeshe,

Diamond ataendelea kuitwa Freemason na mchawi ama kuchukiwa maana ndie msanii pekee Tanzania na East afrika mwenye nidhamu ya kazi, bidii, kujituma na management bora ktk kazi zake ndiomaana zinafanikiwa, hawa wengine wabaki tu kuimba, biashara na usimamizi umewashinda, maybe tusubiri vizazi vijavyo tutapata wasanii wenye akili timamu, kwa sasa bado sana.
 
Mimi naona kama hizi mambo za kuigana igana hazijakaa sawa kuvile

Imekua ni kama vile ili msanii aonekane anamafanikio ni lazima afanye hustle the same anavyo fanya Domo

Kuna biashara ni pasua kichwa kweli kweli moja wapo ni ya Radio na Tv
Salama Sk na ujanja wake wote Mjini Fm imemshinda

Sasa hivi radio zimekua nyingi mmno, timing ya wasafi ilipata bahati kulikua na radio za kiushindani chache angalau kama Clauds, eFm na EA radio
Sasa hivi kuna radio nyingi mmno zinatoa ushindani mkubwa na zina coverage kubwa
Hadi radio ije kuanza kulipa inachukua muda sana
Msanii unaweza kujikuta kila senti unayopata unaitumbukiza kwenye radio

Sijui hatuna washauri wazuri wa uwekezaji?
Ali Kiba ni bonge moja la Brand
 
Mimi naona kama hizi mambo za kuigana igana hazijakaa sawa kuvile

Imekua ni kama vile ili msanii aonekane anamafanikio ni lazima afanye hustle the same anavyo fanya Domo

Kuna biashara ni pasua kichwa kweli kweli moja wapo ni ya Radio na Tv
Salama Sk na ujanja wake wote Mjini Fm imemshinda

Sasa hivi radio zimekua nyingi mmno, timing ya wasafi ilipata bahati kulikua na radio za kiushindani chache angalau kama Clauds, eFm na EA radio
Sasa hivi kuna radio nyingi mmno zinatoa ushindani mkubwa na zina coverage kubwa
Hadi radio ije kuanza kulipa inachukua muda sana
Msanii unaweza kujikuta kila senti unayopata unaitumbukiza kwenye radio

Sijui hatuna washauri wazuri wa uwekezaji?
Ali Kiba ni bonge moja la Brand
Diamond anaanzisha wengine wanafata.
 
Back
Top Bottom