Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diamond anaanzisha wengine wanafata lakini wanapoteana.Nimeusoma uzi bila kuangalia jina la mwandishi na kujilaumu sana kwa muda niliopoteza.
kwenye media atafeli vibaya sana,maana kaingia katika kipindi ambacho ushindani ni mkubwa sana,na inataka mtaji mkubwa na ubunifu wa hali ya juuView attachment 2910800
Wote tunajua Dulla planet bongo ni kijana aliyekuta planet bongo kama kipindi pendwa ikadondoka na kupotea kabisa.
Sasa ndugu Ali kiba kapewa na mnene mmoja asimamie redio na kuipromoti ambayo inazinduliwa kabla ya pasaka.
Yeye kiba akaenda kuokota dulla pale east africa radio na kumpa kitengo cha creative ambacho ni roho ya radio yoyote
Hii wataalam wa mambo wanasema kufeli kabla ya kuanza sababu huyu mshikaji hana history ya kufanikisha lolote kwenye media industry.
Lakin sishangai sababu kiba alifeli pia biashara ya vinywaji kabla haijaanza so na upepo wa kufeli kabla ya kuanza.
Nice kitu gani kikubwa alifanya? Je ana viwanja, hotel, appartments, radio, Je ana Record label..Mr Nice aliiga nini kwa Diamond?
Wewe chawa hujambo?Diamond anaanzisha wengine wanafata lakini wanapoteana.
Hivyo vitu vinavyohitajika yeye hana?kwenye media atafeli vibaya sana,maana kaingia katika kipindi ambacho ushindani ni mkubwa sana,na inataka mtaji mkubwa na ubunifu wa hali ya juu
Shida ya wasanii wengi wa bongo hawana wanachokiweza.
Kila jambo analolifanya Diamond na wao hupenda kuiga.
Siku Diamond atakapoacha muziki ndipo muziki wa Tanzania utakufa rasmi maana wasanii tulionao hawana wanachokijua mpaka Diamond afikirie kwa niaba yao.
Niambie mwanamuziki gani grade A au wale grade B na hata baadhi ya grade C ambao wamefanya kitu kikubwa ambacho hawajaiga kutoka kwa Diamond.
duuDiamond ni role model wa wasanii wote hapa bongo.
Kuanzia life style yake, namna anavyojibrand nk.
Hata masuala ya digital platforms yeye ndiye aliyewasanua wenzake ambao huko mwanzoni walikuwa wanategemea show ili wasurvive na labda kwa mbali mauzo ya albamu zao ambapo napo wanapigwa panga na wasambazaji.
Hata kutembea na ulinzi siku hizi imekuwa fashion lakini wameiga kutoka kwa Diamond Platnumz.
So unahisi yeye amekurupuka tu sio,?kwenye media atafeli vibaya sana,maana kaingia katika kipindi ambacho ushindani ni mkubwa sana,na inataka mtaji mkubwa na ubunifu wa hali ya juu
Mkuu mziki ni kama siasa, ni way of life. Kufa si rahisi / haiwezekani kabisa, kwahiyo acha kutumia pombe za kienyeji kwenye kufikiri.Shida ya wasanii wengi wa bongo hawana wanachokiweza.
Kila jambo analolifanya Diamond na wao hupenda kuiga.
Siku Diamond atakapoacha muziki ndipo muziki wa Tanzania utakufa rasmi maana wasanii tulionao hawana wanachokijua mpaka Diamond afikirie kwa niaba yao.
Aliofanikiwa mbona umtaji jina kama wewe una roho nzuri?Wabongo roho mbaya sana, watu waliofanikiwa wanataka wabaki wao tu kua ndo wamefanikiwa,
Acheni roho mbaya
Uko sahihiAngeenda tofauti kabisa na waliomtangulia, angechukua watangazaji wapya kabisa wasiojulikana, soko lingeitika kwa shauku sana ili kujua yaliyomo yamo? Ila kuanza na watu ambao ladha zao zinafahamika matokeo yatakuwa sivyo anavyotarajia.
View attachment 2910800
Wote tunajua Dulla planet bongo ni kijana aliyekuta planet bongo kama kipindi pendwa ikadondoka na kupotea kabisa.
Sasa ndugu Ali kiba kapewa na mnene mmoja asimamie redio na kuipromoti ambayo inazinduliwa kabla ya pasaka.
Yeye kiba akaenda kuokota dulla pale east africa radio na kumpa kitengo cha creative ambacho ni roho ya radio yoyote
Hii wataalam wa mambo wanasema kufeli kabla ya kuanza sababu huyu mshikaji hana history ya kufanikisha lolote kwenye media industry.
Lakin sishangai sababu kiba alifeli pia biashara ya vinywaji kabla haijaanza so na upepo wa kufeli kabla ya kuanza.
Wanaume wa dar ndo mana wengi mashoga... minding very minor issues!!!...View attachment 2910800
Wote tunajua Dulla planet bongo ni kijana aliyekuta planet bongo kama kipindi pendwa ikadondoka na kupotea kabisa.
Sasa ndugu Ali kiba kapewa na mnene mmoja asimamie redio na kuipromoti ambayo inazinduliwa kabla ya pasaka.
Yeye kiba akaenda kuokota dulla pale east africa radio na kumpa kitengo cha creative ambacho ni roho ya radio yoyote
Hii wataalam wa mambo wanasema kufeli kabla ya kuanza sababu huyu mshikaji hana history ya kufanikisha lolote kwenye media industry.
Lakin sishangai sababu kiba alifeli pia biashara ya vinywaji kabla haijaanza so na upepo wa kufeli kabla ya kuanza.
Chora 7 uone!Wanaume wa dar ndo mana wengi mashoga... minding very minor issues!!!.