Ali Kiba hapa kwa Dulla umefeli kabla ujaanza

Ali Kiba hapa kwa Dulla umefeli kabla ujaanza

Mimi naona kama hizi mambo za kuigana igana hazijakaa sawa kuvile

Imekua ni kama vile ili msanii aonekane anamafanikio ni lazima afanye hustle the same anavyo fanya Domo

Kuna biashara ni pasua kichwa kweli kweli moja wapo ni ya Radio na Tv
Salama Sk na ujanja wake wote Mjini Fm imemshinda

Sasa hivi radio zimekua nyingi mmno, timing ya wasafi ilipata bahati kulikua na radio za kiushindani chache angalau kama Clauds, eFm na EA radio
Sasa hivi kuna radio nyingi mmno zinatoa ushindani mkubwa na zina coverage kubwa
Hadi radio ije kuanza kulipa inachukua muda sana
Msanii unaweza kujikuta kila senti unayopata unaitumbukiza kwenye radio

Sijui hatuna washauri wazuri wa uwekezaji?
Ali Kiba ni bonge moja la Brand
Unaongea ujinga tu, Salam sk ana ujanja gani? Ana fan base gani?

Watu wasifanye biashara waogope ngombe wanaopiga kelele eti kuigana, hizo biashara za peke yake zifanyeni nyie mtuboe, acheni chuki na wivu
 
kwenye media atafeli vibaya sana,maana kaingia katika kipindi ambacho ushindani ni mkubwa sana,na inataka mtaji mkubwa na ubunifu wa hali ya juu
Hizi ni kelele za mkund haziboi choo, watanzania tupunguze chuki na kuombeana mabaya, mtu hajaanza hata kazi umeshamtabilia atafeli,

Unadhani kakurupuka kuwekeza? Hakuna mtu anakurupuka kufanya kitu bila kufanya tathimini, mnadhani atafanya kila kitu yeye ile ni kampuni lazima watajiliwa watu wenye weredi.!
 
WaTanzania kitu hawapendi kusikia ni ukweli, yaani ukweli unawauma sana kiasi kwamba wanasahau hata kujibu kwa facts wanaishia kutukana.

Wasanii wa bongo 99% katika usimamizi wa biashara ni TAKATAKA, wachache sana waliofanikiwa hapa nao hawafiki hata 3 Tanzania nzima.

Huwa nashangaa watu wanavyotukana pindi alikiba na wasanii wengine failure wanapoambiwa ukweli, kiufupi kumtumia msanii ambaye issue zake mwenyewe zimemshinda kuzipush huo ni ujinga na kuharibu biashara.

Ni vile tu maisha ya Tz yanaenda kwa kiki na skendo chafu ndioamaana madili mengi hupewa watu wapuuzi na wasio na uwezo wowote zaidi ya kuibua kiki ambazo hao wafanyabiashara huzitumia kusukuma kazi zao, lkn nje na hapa ni kuharibu mambo.

Akina alikiba,harmonize,rayvan sijui mwijaku na takataka zingine hawa kazi za kupromote na kupush madeal wangeachana nazo maana mambo yao wao wenyewe yamewashinda, je wataweza kusukuma issue za wengine?

Tanzania tuna mchezo sana na hatupo siriazi ktk mambo ya msingi ndiomaana hatujali mambo ya maana tunawaachia wajinga wayaendeshe,

Diamond ataendelea kuitwa Freemason na mchawi ama kuchukiwa maana ndie msanii pekee Tanzania na East afrika mwenye nidhamu ya kazi, bidii, kujituma na management bora ktk kazi zake ndiomaana zinafanikiwa, hawa wengine wabaki tu kuimba, biashara na usimamizi umewashinda, maybe tusubiri vizazi vijavyo tutapata wasanii wenye akili timamu, kwa sasa bado sana.
Uko sahihi 100%. Wasanii kwenye biashara hakuna kitu. Miaka ya zamani niliona AY ana duka la nguo Sinza ila ghafla likafa kifo cha kawaida.. list ni ndefu ya wasanii walioanzisha biashara zikafa kizembe. Kinachouma ni kwamba ule muda wao wa kuwika ukipita huwa ni ngumu sana kurudi juu tena. Mwaka 2000 mojawapo ya wasanii wakubwa duniani alikuwa Sisqo wa Dru Hill lakini kufikia 2002 alipotezwa vibaya na kina 50cent na chupukizi wengine. Mara ya mwisho niliona Sisqo anatangaza show yake ya Kinshasa Drc. Wasanii wawe na nidhamu ya ndani na nje ya muziki. Wengi wao hawana nidhamu kotekote.
 
Mimi naona kama hizi mambo za kuigana igana hazijakaa sawa kuvile

Imekua ni kama vile ili msanii aonekane anamafanikio ni lazima afanye hustle the same anavyo fanya Domo

Kuna biashara ni pasua kichwa kweli kweli moja wapo ni ya Radio na Tv
Salama Sk na ujanja wake wote Mjini Fm imemshinda

Sasa hivi radio zimekua nyingi mmno, timing ya wasafi ilipata bahati kulikua na radio za kiushindani chache angalau kama Clauds, eFm na EA radio
Sasa hivi kuna radio nyingi mmno zinatoa ushindani mkubwa na zina coverage kubwa
Hadi radio ije kuanza kulipa inachukua muda sana
Msanii unaweza kujikuta kila senti unayopata unaitumbukiza kwenye radio

Sijui hatuna washauri wazuri wa uwekezaji?
Ali Kiba ni bonge moja la Brand
Uko sahihi 100%. Biashara ya redio ni pasua kichwa sana. Watu wengi walioanzisha redio wanajuta kwa sasa. Zamani ilikuwa redio hazigombei matangazo na watu wa mitandaoni ila kwa sasa watu wa mitandaoni wanawapelekea moto vibaya radio na TV stations. Watangazaji na waandishi wana hali ngumu sana kiuchumi kutokana na wamiliki kukosa pesa.
 
Uko sahihi 100%. Biashara ya redio ni pasua kichwa sana. Watu wengi walioanzisha redio wanajuta kwa sasa. Zamani ilikuwa redio hazigombei matangazo na watu wa mitandaoni ila kwa sasa watu wa mitandaoni wanawapelekea moto vibaya radio na TV stations. Watangazaji na waandishi wana hali ngumu sana kiuchumi kutokana na wamiliki kukosa pesa.
Hayo yote yamekuja baada ya Alikiba kuanzisha media yake, u team unawafanya mnakua wanafiki.,

Mpaka kufikia hatua ya kuanzisha media unadhani yeye hajafanya tathimini? Weww una uzoefu kwenye media kumzidi salim kikeke?

Punguzeni ujuaji acheni watu wawekeze wanakoona kunawafa na kuwalipa hakuna mjinga wa kutupa pesa yake akijua kua inaenda kuteketea,

Kisa fulani alifeli kwenye biashara fulani ndo wengine wasiifanye? Kila mtu anaplan na target zake kwenye biashara.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hayo yote yamekuja baada ya Alikiba kuanzisha media yake, u team unawafanya mnakua wanafiki.,

Mpaka kufikia hatua ya kuanzisha media unadhani yeye hajafanya tathimini? Weww una uzoefu kwenye media kumzidi salim kikeke?

Punguzeni ujuaji acheni watu wawekeze wanakoona kunawafa na kuwalipa hakuna mjinga wa kutupa pesa yake akijua kua inaenda kuteketea,

Kisa fulani alifeli kwenye biashara fulani ndo wengine wasiifanye? Kila mtu anaplan na target zake kwenye biashara.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mimi nimefanya kazi kwenye media company kwa miaka kadhaa tena upande wa management. Najua nilichosema. Inawezekana Kikeke ni mzoefu tu wa studio ila kwenye biashara akawa mtupu.
 
Back
Top Bottom