Ali Kiba hapa kwa Dulla umefeli kabla ujaanza

kwenye media atafeli vibaya sana,maana kaingia katika kipindi ambacho ushindani ni mkubwa sana,na inataka mtaji mkubwa na ubunifu wa hali ya juu
 
Mr Nice aliiga nini kwa Diamond?
Nice kitu gani kikubwa alifanya? Je ana viwanja, hotel, appartments, radio, Je ana Record label..
Labda useme Jamaa alichakata sana mbususu na kula bata...zaidi ya hapo hakuna
Diamond Is A Game Changer, hajafanya vitu kimazoea alichungulia fursa na kuiona future yake..Mziki huja na kuisha.
Wasanii wangapi walishashika hela sana In their ERA leo hii hawana hata kitu..

Nb; kongole kwa Diamond he changed the Game.
 
duu
 
Mkuu mziki ni kama siasa, ni way of life. Kufa si rahisi / haiwezekani kabisa, kwahiyo acha kutumia pombe za kienyeji kwenye kufikiri.
 
Angeenda tofauti kabisa na waliomtangulia, angechukua watangazaji wapya kabisa wasiojulikana, soko lingeitika kwa shauku sana ili kujua yaliyomo yamo? Ila kuanza na watu ambao ladha zao zinafahamika matokeo yatakuwa sivyo anavyotarajia.
 
Angeenda tofauti kabisa na waliomtangulia, angechukua watangazaji wapya kabisa wasiojulikana, soko lingeitika kwa shauku sana ili kujua yaliyomo yamo? Ila kuanza na watu ambao ladha zao zinafahamika matokeo yatakuwa sivyo anavyotarajia.
Uko sahihi
Na huyo dulla sio creative,yeye ni ana sauti tu,ni wa kuandaliwa vipindi ,atangaze na kulipwa,then arudi geto kwake akaendelee kumzalisha mkewe
Pale ubunifu zero🤣🤣ilmu ya madrasaah na ubunifu Wapi na Wapi?
 

Leo ndo nimeelewa hii post[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanaume wa dar ndo mana wengi mashoga... minding very minor issues!!!...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…