Ali Kiba kataja sababu za kwanini hamfollow mtu Instagram


Nyie ndo mnampoteza huyu dogo. Na nyie ndo hamjui maana na umuhimu wa social networks. Hujui social networks zina impact gani kwa watu kuanzia maisha yao binafsi hadi impression unayoitengeneza kwenye jamii yako.
Unahitaji kujifunza nini maana ya social networks na zina kazi gani...
 

Hahaa nimependa hii
→ MLIOKOSA MFUMO RASMI WA TAALUMA. TUMIENI FURSA YA KUWEPO HAPA JF KUJITAMBUA.
 

huenda hili jibu likamfanya ajitambue....
 

embu kaa pembeni,shwaini wee

ya watu yanakuwasha sanaaaa,
 
Hahaa nimependa hii
→ MLIOKOSA MFUMO RASMI WA TAALUMA. TUMIENI FURSA YA KUWEPO HAPA JF KUJITAMBUA.

WE UMEJITAMBUA, AU UMEKURUPUKA TUU NA KUANZA 😛uke:😛uke:😛uke:😛uke:
 
Some people are alive because its illegal to kill them. Mpeni Uhuru kijana wawatu aishi life stail amabalo anastahili. Tunafail tunapotaka kuwa na msaani as per our perception,.. Humkubali pita kuleeeeee. Nasio kujitia unajua kupangilia life LA watu..
 

tatizo anatutia aibu na mambo yake ya ki local, hata mtu toka nje anakuja sikia huyu kibakuli anafananishwa na president atatushangaa, ajitahidi hata afuate nyayo za mwenzake

Hakuna hata msanii mmoja wa Afrika anayefanya upuuzi huo, ukitolea mfano marekani beyonce, lil wyne, justine timberlk unakuwa ukiazi, coz tupo tofauti sana wenzetu unaweza mkakaa nyumba zinafuatana lakini hamfahamiani wala kupeana hi wna tabia ya kutojali vitu kama hivi, tofauti kabisa na sisi..
 

Anakutia aibu na mambo gani labda mwache afanye mambo yake kwanza wewe huwa humkubali kiba so nilikua natarajia negative comment with nothing new rather than hatred.
Na Kiba hafananishwi na kidudu mtu CHOCHOTE anaishi maisha yake ajisikiavyo. Kiba atafanya mambo yake na kuimba atakavyo sio kuiga mtu flani.
Sasa umesema hakuna msanii anayefanya huo ujinga Africa ni maamuzi yao. Hata wewe Fanya kitakacho kupa amani na sio kufanya kitu ili Ku please watu huo ni unafiki mkubwa usio na Kifani.
That why nchi nchi. Nyingi za KiAfrica hasi progress mana kuanzia kwenye familia watoto wamezoeshwa kutokua na kujiamini na kufanya kitu wanachoki feel. Mtu anataka kufanya hili jamii ni ya kwanza Ku discourage na kumfanya mtu atoke kwenye maono yake na kudandia kitu asichokipenda.

Watanzania inabidi tu change unafikiri walioendelea walianzaje. Tusiishi kwa Ku kremisha vitu vina change tupunguze discouragement na ma criticism ya kijinga. Tutendeee haki akili zetu.
 

Attachments

  • 1435849313368.jpg
    9.2 KB · Views: 220

Ndo tatizo LA watu hilo wakishamuona msanii wana mpangia life style na Ku mu shape kwa perception zao. Kila mtu licha ya maisha yake awe msanii au siyo msanii ana Uhuru wa kufanya alitakalo.
Kah u too much negativity kwa wabongo ni janga la kitaifa kwao kulalamika kukosoa tu wape wafanye wao basi.
 

Huyu Alikiba bado mchanga kumtetea kwa hiyo mifano ya hao wamarekani tena nyodo zao zinakuja kwa kuwa wamesha fanikiwa...!

Alikiba ana uhuru wake lakini majibu aliyo yatoa ni ya kitoto kabisa na haya hold water....!

Hebu jiulize kwa nini wasanii huwa follow watu? Connections hupatikana kwa vitu kama hivi ambavyo Alikiba ana viona ni vidogo!

Kuna mtu humu amenichekesha sana aliye sema kuwa majibu ya Alikiba ni kama ya profesa wa oxford ..Teh Teh...majibu yake ni ya kijinga sana!

Unatakiwa kujua si kila kinacho fanywa na wazungu ni sahihi na si lazima kifatwe ndio maana vichwa tulopewa wote na uwezo wa kufikiri tulipewa wote hakuna aliye nyimwa!

Wazungu wana ujinga mwingi na ndio hawa majuzi walio wapa waafrika tunzo back stage na ndio hawa wamarekani walio halalisha ndoa za jinsi moja halafu bado unafikiri huwa wana vichwa sawa au huwa wana utu kweli?

Naomba ulete mifano ya wasanii watatu wa africa sio hao wavuta unga...!

Katika kitu ambacho ambacho watu wengi hawajui kuhusu Alikiba ni kibri alicho nacho cha hali ya juu....na ili nimeligundua kwenye interview zake nyingi!

Alikiba hajafika kwenye daraja la kuto follow mtu hata mmoja halafu anakuja kwa utetezi kama huu..bora angesema wazi sitaki!

Huyu Alikiba kuna mambo anatakiwa asemwe wazi wazi sio kutetewa tuu hata kwa ujinga..
 
Quote from bongo5 last year """"" Sio rahisi kuambiwa na meneja wa Trey Songz,
Mariah Carey na Big Sean ‘nitafute ukipata
nafasi’ , kama hauna kitu cha maana unachoweza
kufanya.
Lakini kwa Diamond hilo linawezekana. Muimbaji
huyo wa ‘Mdogo Mdogo’ jana alifanikiwa kupata
comment muhimu zaidi kwenye Instagram tangu
ajiunge na mtandao huo baada ya aliyewahi
kuwa makamu wa rais wa Def Jam Recordings,
Kevin Liles na ambaye hivi karibuni alichukua
nafasi ya Jermaine Dupri kama meneja wa
Mariah Carey, kucomment kwenye picha ya
Diamond.
“Great shot. Hit me when you get a chance,”
aliandika Kevin kwenye picha ya Diamond (hiyo
chini aliyoweka Instagram).
“l am grateful, lemmie do it ryt now boss,” alijibu
Diamond.
Diamond Platnumz na Kevin Liles
walikutanishwa na Rais Jakaya Kikwete mwezi
June nchini Marekani
“Ilikuwa ni namna ya kuangalia nafanya vipi
katika soko la Amerika na dunia nzima” Diamond
aliimbia Bongo5 kuhusiana na kukutana na Kevin."""""

Ukiweka uteam pembeni lazima ukubali ni kitu kidogo ukichukulia kitoto but kikubwa ukifikiria kimapana utatolea mfano twitter but kuna watu hawapo huko hasa tz tumebase sana instagram...



Team wasafi nadhani mtaelewa vizuri kwa sasa collable ya kimataifa ambayo ipo tayari ... Kwa last year najuwa isingeweza fanyika, coz dogo bado alikuwa anasaka tobo ajulikane zaidi Africa ili kitu kikija kutoka kiwe anticipated zaidi kila kona ya bara

Mwezi wa tisa ndio shooting ya homa ya dunia diamond platnumz ft. Trey songs utaachaje kumpenda huyu mtu... Next stop chriss brown na wengineo wakali wooozaaaaas
 

Attachments

  • 1435857156247.jpg
    38.7 KB · Views: 167
  • 1435857174142.jpg
    56 KB · Views: 163
  • 1435857189114.jpg
    22.2 KB · Views: 166

Tusianze mambo yakunationalize watu kwamba huyu ni mzungu basi afanye hiki na huyu ni mwafrika basi afanye hiki,
ingekuwa ni hivyo basi ungeanza kuwakataza hao mabidada wanaovaa kama wazungu huko mitaani (nusu utupu)
na hii ndio maana ya grobalized world, kitu anachokifanya Chriss brown nae Alikiba anaweza fanya.

Wameishacopy sana mambo wanayofanya hao unaowaita wazungu yet they're Black,
Mavazi, Miziki na Tamaduni pia sasa kwanini wasifanye kama hili alilolifanya Kiba ?

Kwa swala lakucategorize btn black and white kwangu mimi haliwezi kufanya point zako ziwe Legitimacy.

Kwasabu kafanya mtanzania ndomana wengi wanachonga sana, suo labda kwasababu zakijinga tu kama kujiona mjinga yule anaemfollow, bali pia na Chuki binafsi zilizo ndani ya mioyo yao.
 

Haaaaaaa JF iwe darasa lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…