Ali Kiba na Jackline Mengi wateuliwa kuwa mabalozi wa tembo

Ali Kiba na Jackline Mengi wateuliwa kuwa mabalozi wa tembo

Kijana mtanashati
 

Attachments

  • 1434635015757.jpg
    1434635015757.jpg
    23.1 KB · Views: 472
Pongezi for what, ina maana gani ktk career yake. Em kuweni na akili..

King of the jungle na music wapi na wapi?

My lord. Amkeni watoto.

Wee, shika adabu zakooo! Mimi sio
Mtoto.
Muda wa kuamka kesho asubuhi.
Ubalozi ni heshima!
Huwezi kuona hilo mahaba ya mondi yamekujaa.
 
Analipwa sh ngapi?
Tusubiri colabo akimshirikisha jack chan😆
 
Wasanii wengi ni mabalozi katika miradi mbalimbali,diamond ni ambassador katika miradi mingi sana,sema tu sisi hatunaga matangazo

Kwa wenzetu hili ni jambo kubwa sana kwao team kiba kwa sababu walikuwa kwenye Comar ndio maana unaona wanashangilia sana.
Usitegemee mabadiliko yeyote ya kiuchumi kwa king(without palace,means nothing)
Kawaida sana.


heheeeeee yaan unaniuaaa mchizi wangu ,basi Leo watatombokaaaa haoo
 
Watu tulikuwa standby kusubiri hiyo suprise!kumbe ni kiba kuwa balozi wa wanyama?na yenyewe ni suprise sasa ya kushangaza watu??

Kweli mmeishiwa sera na mashiko!!hilo nalo ni ajabu kweli clouds?

hhhaaahhhaaa ...tushawazoea nyie viwavi jeshi.....
hata kwetu mpoook
pole weeee kipele
kuota kwa asiye na kucha....

utajijuuuui...!#
 
We kweli vidudu mtoni huvijui. .tembelea website za fashion italy uone hizo suruali zinagongwa na wakali gani. .umekaririshwa majeans mchaniko na jogger trousers za wacheza show


basi na huku wachunga ng'ombe kumbe nao wapo kwenye fashion sikujuaa
 
Kiba goo goooooo usiangalie wanonkhoo

uwe unaniita baasss.....

wanoko wapo toka enzi za manabiii...!!

dawa yao tu put them in their places and give them black and white....

kuna watu wapo kupondaaaaa... tu sijui wamezaliwa wapiii

chochote akifanyacho mtu mradi hampendi bas ht kizuri kitakua nnyaaaa


mbadilike nyie mbwigaaaa....!!!#
 
Back
Top Bottom