Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Na hata akichaguliwa wa dini yangu hatonisaidia chochote mimi kwa sababu hata hatujuani ๐๐ !! Huwa nawashangaa sana watu wanapozungumzia udini udini katika Teuzi !!Ili kuweka mambo sawa watu wasilaumu uteuzi wa upendeleo wa dini. Uteuzi uwe sawa kwa dini zote za ukristo na uislamu.
Tuone watu wa dini gani watafaidika.
Sidhani Kama nchi hii ilishawahi tokea teuzi za waislamu zikazidi za wakristo, Mara zote ni kinyume chake
Mkuu ras jeff kapita , mimi ni mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea, kuandika na kutangaza ndio the job I love most, amini usiamini haya ninayoandika na ninayo tangaza, yanaisaidia sana serikali yetu kuliko nikiteuliwa nafasi yoyote!. Mteuzi nimesha mtaarifu Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!Pasco niambie kitu kimoja. Unataka kazi ya serekali na chama!??
Tukisema yeyote ni Mtanzania yeyote wa chama chochote anaweza kuteuliwa nafasi yoyote ya uteuzi.Anaweza teua yeyote ila siyo wa chama cha upinzani.
amenKenya wametangaza kuwa wamefilisika na yote ni kama sababu ulizotaja hapo juu!
Tufanye nini?
Bali tunaye Mwenye Enzi Mungu ambaye ni mweza wa yote!
Ehh Mola kumbuka nchi yetu Tanzania [emoji1241] tulivyo ipigania Africa mpaka nchi zote ziwe huru, kumbuka damu za ndugu zetu waliokuwa wana letwa mabox na mabox[emoji24][emoji24][emoji24]sisi wananchi tukala chakula cha farasi [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]rudi ehhh Mwenye Enzi Mungu usituache maana tuna angamia jamani uwiii Mola wangu na Rabuka wangu rudi utukomboe nchi yetu Tanzania [emoji1241][emoji24][emoji24]
Ok sawaMkuu ras jeff kapita , mimi ni mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea, kuandika na kutangaza ndio the job I love most, amini usiamini haya ninayoandika na ninayo tangaza, yanaisaidia sana serikali yetu kuliko nikiteuliwa nafasi yoyote!. Mteuzi nimesha mtaarifu Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
P
So tujiandae kuumia?ANATUPELEKA PABAYA! aNAANZA KUZUNGUKWA NA DINI YAKE, KABILA LAKE LA ZENJI, CCM AND THE LIKE! aTALIGAWA TAIFA. tIME WILL TELL!
Sana, maana hatabiliki.... mara Pindi chana , mara Mchengerwa, mara Makamba, mara Ridhiwani, mara oh twafaSo tujiandae kuumia?
Mayalla mbona siku hizi umepoa sana ?Always!.
P
Nimezeeka nimekuwa mtu mzima, mimi sasa ni babu nina wajukuu 6!,Mayalla mbona siku hizi umepoa sana ?
Kweli kabisaNa hata akichaguliwa wa dini yangu hatonisaidia chochote mimi kwa sababu hata hatujuani ๐๐ !! Huwa nawashangaa sana watu wanapozungumzia udini udini katika Teuzi !!
Unataka akuteue wewe ndio uridhike?ANATUPELEKA PABAYA! aNAANZA KUZUNGUKWA NA DINI YAKE, KABILA LAKE LA ZENJI, CCM AND THE LIKE! aTALIGAWA TAIFA. tIME WILL TELL!
Kule waliko kacha wale DC wateule wa chama cha waalimu,wamepelekwa wa dini ya Mama post zote mbili!Ili kuweka mambo sawa watu wasilaumu uteuzi wa upendeleo wa dini. Uteuzi uwe sawa kwa dini zote za ukristo na uislamu.
Tuone watu wa dini gani watafaidika.
Sidhani Kama nchi hii ilishawahi tokea teuzi za waislamu zikazidi za wakristo, Mara zote ni kinyume chake
Wakati wa Jiwe namba mbili na tatu kitaifa walikuwa Waislamu wote!Hili la dini linaonekana sasa...wakati wa Mungu wao walikuwa kinyaa kabisa
pascal ulitakiwa kumuunga mkono mtoa madamaana najua una uwezo kuliko wateule wengi ila kwa sababu ya ubaguzi upo tu unapuyanga mjiniHebu tuache hizi mambo za hovyo hovyo!. Presidential appointment powers ni sole and exclusive rights za rais wetu kuwachagua wasaidizi anao ona watamfaa hivyo anafanya appointment at her pleasure as she pleases na teuzi hizi hazihojiwi na yoyote wala kuingiliwa na mamlaka yeyote!. Tusitake kimnyooshea vidole too much tukataka kumtia vidole hadi machoni!.
Jielimishe zaidi hapa Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote!
Na kuhusu mwendo, japo ni kweli alianza vema na anakwenda akibadilika na hili hata mimi nililisema Mama, I'm here to support you, to serve our country. I'm here sio tu kuonesha ujuzi wangu kwa nchi yangu, bali pia kuutumia. But...
Ila tunako kwenda ni kuzuri Mahali ni pazuri ndugu wanapokaa, wakipata vema na kupendana. Tulikotoka ni kugumu, tunakokwenda ni kurahisi, kuzuri! Heri ya Mwaka Mpya wahusika wote
P
Ukitaka kumkamata jambazi mpe ulinzi jambazi mkuu๐๐Namuongelea Kiongozi wetu, alianza vema sana kazi zake kwa kuhakikisha teuzi nyingi zinazingatia sifa, weledi, umoja wa kitaifa, dini na hata jinsia. Hata hivyo, kwa siku za karibuni ameanza kukengeuka kama mtangulizi wake.
Anateua watu wenye kutiliwa mashaka weledi wao angalia kama huyo KM mpya utamaduni. Ana sifa za hovyo za ubadhirifu akiwa msaidizi binafsi wa yule spika aliyejiuzulu, kama vetting ingefanyika hafai kuwa KM ni vile tu ana vinasaba na uhusiano na yule DGIS mstaafu kutoka Tanga ambaye kwa sasa anaendesha nchi kwa mlango wa nyuma.
Tazama uteuzi wa Mkwe na Swahiba wake kuongoza Wizara nyeti, wote wa dini moja na marafiki pendwa unganisha dots na ziara za juzi za mtu ambaye hakutambulishwa jina ila aliitwa mwanaukoo wa ufalme wa UAE utaelewa wazi kuwa huyu kiongozi wetu kishaanza kuwa kama mtangulizi wake marehemu. Sifa zao kuu ni wizi, upendelevu wa ndugu zao, udini na ueneo.
Kama tulivyomkemea marehemu huyu naye tunamtaka cache ujinga huu wa kuigawa