Alianza mwendo vizuri, ila sasa kaanza kukengeuka kama mtangulizi wake

Alianza mwendo vizuri, ila sasa kaanza kukengeuka kama mtangulizi wake

Nepotism huwezi kuikwepa duniani pote. Damu ni nzito kuliko maji.

Ukitoka kazini saa kumi na moja jioni unaanza kujichanganya na familia yako ambao ni watu wako wa karibu. Vigumu kuwanyima vyeo wakati ukiugua saa saba usiku ni wao wanaokukimbiza hospitalini na kusimama pembeni ya kitanda chako mpaka unapopona na kurudi nyumbani.

Lenye busara kufanyika ni kuvuta ndugu zako wenye elimu ya darasani na uwezo wa kufanya kazi.
 
Ili kuweka mambo sawa watu wasilaumu uteuzi wa upendeleo wa dini. Uteuzi uwe sawa kwa dini zote za ukristo na uislamu.
Tuone watu wa dini gani watafaidika.
Sidhani Kama nchi hii ilishawahi tokea teuzi za waislamu zikazidi za wakristo, Mara zote ni kinyume chake
Na hata akichaguliwa wa dini yangu hatonisaidia chochote mimi kwa sababu hata hatujuani 😂😅 !! Huwa nawashangaa sana watu wanapozungumzia udini udini katika Teuzi !!
 
Kenya wametangaza kuwa wamefilisika na yote ni kama sababu ulizotaja hapo juu!
Tufanye nini?
Bali tunaye Mwenye Enzi Mungu ambaye ni mweza wa yote!
Ehh Mola kumbuka nchi yetu Tanzania [emoji1241] tulivyo ipigania Africa mpaka nchi zote ziwe huru, kumbuka damu za ndugu zetu waliokuwa wana letwa mabox na mabox[emoji24][emoji24][emoji24]sisi wananchi tukala chakula cha farasi [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]rudi ehhh Mwenye Enzi Mungu usituache maana tuna angamia jamani uwiii Mola wangu na Rabuka wangu rudi utukomboe nchi yetu Tanzania [emoji1241][emoji24][emoji24]
amen
 
Ili kuweka mambo sawa watu wasilaumu uteuzi wa upendeleo wa dini. Uteuzi uwe sawa kwa dini zote za ukristo na uislamu.
Tuone watu wa dini gani watafaidika.
Sidhani Kama nchi hii ilishawahi tokea teuzi za waislamu zikazidi za wakristo, Mara zote ni kinyume chake
Kule waliko kacha wale DC wateule wa chama cha waalimu,wamepelekwa wa dini ya Mama post zote mbili!
 
Hebu tuache hizi mambo za hovyo hovyo!. Presidential appointment powers ni sole and exclusive rights za rais wetu kuwachagua wasaidizi anao ona watamfaa hivyo anafanya appointment at her pleasure as she pleases na teuzi hizi hazihojiwi na yoyote wala kuingiliwa na mamlaka yeyote!. Tusitake kimnyooshea vidole too much tukataka kumtia vidole hadi machoni!.

Jielimishe zaidi hapa Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote!

Na kuhusu mwendo, japo ni kweli alianza vema na anakwenda akibadilika na hili hata mimi nililisema Mama, I'm here to support you, to serve our country. I'm here sio tu kuonesha ujuzi wangu kwa nchi yangu, bali pia kuutumia. But...

Ila tunako kwenda ni kuzuri Mahali ni pazuri ndugu wanapokaa, wakipata vema na kupendana. Tulikotoka ni kugumu, tunakokwenda ni kurahisi, kuzuri! Heri ya Mwaka Mpya wahusika wote
P
pascal ulitakiwa kumuunga mkono mtoa madamaana najua una uwezo kuliko wateule wengi ila kwa sababu ya ubaguzi upo tu unapuyanga mjini
 
Namuongelea Kiongozi wetu, alianza vema sana kazi zake kwa kuhakikisha teuzi nyingi zinazingatia sifa, weledi, umoja wa kitaifa, dini na hata jinsia. Hata hivyo, kwa siku za karibuni ameanza kukengeuka kama mtangulizi wake.

Anateua watu wenye kutiliwa mashaka weledi wao angalia kama huyo KM mpya utamaduni. Ana sifa za hovyo za ubadhirifu akiwa msaidizi binafsi wa yule spika aliyejiuzulu, kama vetting ingefanyika hafai kuwa KM ni vile tu ana vinasaba na uhusiano na yule DGIS mstaafu kutoka Tanga ambaye kwa sasa anaendesha nchi kwa mlango wa nyuma.

Tazama uteuzi wa Mkwe na Swahiba wake kuongoza Wizara nyeti, wote wa dini moja na marafiki pendwa unganisha dots na ziara za juzi za mtu ambaye hakutambulishwa jina ila aliitwa mwanaukoo wa ufalme wa UAE utaelewa wazi kuwa huyu kiongozi wetu kishaanza kuwa kama mtangulizi wake marehemu. Sifa zao kuu ni wizi, upendelevu wa ndugu zao, udini na ueneo.

Kama tulivyomkemea marehemu huyu naye tunamtaka cache ujinga huu wa kuigawa
Ukitaka kumkamata jambazi mpe ulinzi jambazi mkuu😂😂
 
Back
Top Bottom