Kwani Feisal Yeye anataka kurudi Yanga au anataka kuomdoka?
Halafu kama TFF inamlazimisha kwa kumwambia yeye ni Mchezaji halali wa Yanga , je kuna adhabu yoyote ile wamempa? maana amekuwa ni mtoro kazini kwa muda mrefu sasa. Ifike mahali Yanga wakubali kwamba kama Ng'ombe kagoma kunywa maji hata kama anayaona wasimlazimishe.
Una ufala mwingi sana kolo weweYanga ilipeleka shauri mahakamani kuwa Feisal amevunja mkataba kwa njia isiyo ya halali
Sheria ya FIFA inasema mchezaji akivunja mkataba kinyume na makubaliano anapigwa faini ili kuifidia timu na kuweka msimamo kwa wengine wasiweze kufanya hilo jambo
Pia sheria zinaelekeza mamlaka za soka kumfungia miezi minne mchezaji huyo
Hakuna sheria inayosema mchezaji aliyevunja mkataba kwa njia isiyofaa arudi kuendelea kuitumikia timu hiyo.
Nyie ndio wapumbavu namba moja, si mlisema feisal yuko sahihi kwa alichokifanya sàsa barua ya nini tena aliyopeleka tff? Kama ni sheria ya fifa ameshindwa nini kuifata iyo wakasonga mbele? Kwanini warudi tena nyuma kupeleka barua ya kuomba kuvunja mkataba? Wanataka kuvunja mkataba upi ambao uyo fei anadai alishavunja? Akili zenu zimejaa kamasi kama sio funza, msikilize uyo wakili wake alichokisema kwanza kabla ujapuyanga hapa, alafu ndio urudi kuandika pumba zako izo, kama ni CAS wangeshafika uko siku nyingi kwanini wanakomaa na tff ambayo wanaona aiwatendei haki? Tff washatamka fei toto ni mali ya yanga kwa mkataba halali akuna kinachoweza kubadilisha ilo walitakiwa waende uko CaS wanakoona kuna haki yao, Mwanasheria wake katamka kuwa tff ndiyo yenye uwezo wa kuvunja mkataba wa mchezaji na klabu au klabu na mchezaji endapo kuna sintofahamu na sio mchezaji kuamka uko alikolala na kusema amevunja mkataba, uyo mwanasheria kaona uyo dogo wenu mnayempigia debe la kibangi bangi alipuyanga pakubwa na wanasheria wa mchongo wakapiga pesa zake wakakaa pembeni, Sasa arudi kwa mwajili wake amtajie dau lake la kama anataka kuuvunja huo mkataba
Na atakuja kulipa gharama huko mbeleni.. ukivushwa mahala huna haja ya kubomoa darajaFei toto amefanya jambo la kitoto sana.
Sijui una haraka za nini, ni ujinga wako tu na makelele yasiyo na maana kupitiliza.Nyie ndio wapumbavu namba moja, si mlisema feisal yuko sahihi kwa alichokifanya sàsa barua ya nini tena aliyopeleka tff? Kama ni sheria ya fifa ameshindwa nini kuifata iyo wakasonga mbele? Kwanini warudi tena nyuma kupeleka barua ya kuomba kuvunja mkataba? Wanataka kuvunja mkataba upi ambao uyo fei anadai alishavunja? Akili zenu zimejaa kamasi kama sio funza, msikilize uyo wakili wake alichokisema kwanza kabla ujapuyanga hapa, alafu ndio urudi kuandika pumba zako izo, kama ni CAS wangeshafika uko siku nyingi kwanini wanakomaa na tff ambayo wanaona aiwatendei haki? Tff washatamka fei toto ni mali ya yanga kwa mkataba halali akuna kinachoweza kubadilisha ilo walitakiwa waende uko CaS wanakoona kuna haki yao, Mwanasheria wake katamka kuwa tff ndiyo yenye uwezo wa kuvunja mkataba wa mchezaji na klabu au klabu na mchezaji endapo kuna sintofahamu na sio mchezaji kuamka uko alikolala na kusema amevunja mkataba, uyo mwanasheria kaona uyo dogo wenu mnayempigia debe la kibangi bangi alipuyanga pakubwa na wanasheria wa mchongo wakapiga pesa zake wakakaa pembeni, Sasa arudi kwa mwajili wake amtajie dau lake la kama anataka kuuvunja huo mkataba
Sasa kwanini hajafungiwa miaka hiyo 4 wakati amekutwa na hatia?Adhabu ni pamoja na kuvungiww miaka ,4 nyie mnawaza fain vitu vidogo
Ataondoka bure? never everHizo ni sababu zake yeye sasa.....
Ndio maana anaomba Kuvunja mkataba.
Tutaona kama ni Just cause au Sio.
Kama ni Just cause Fei ataondoka bure yanga huku Yanga wakishangaa macho.
Kama without a Just cause still ataondoka Yanga atalipa faini na kufungiwa baadhi ya miezi.
Ila haweziblazimishwa kucheza Yanga.
Sasa kumbe unayajua yote haya si uende ukasimamie hio kesi upige mpunga huoYanga ilipeleka shauri mahakamani kuwa Feisal amevunja mkataba kwa njia isiyo ya halali
Sheria ya FIFA inasema mchezaji akivunja mkataba kinyume na makubaliano anapigwa faini ili kuifidia timu na kuweka msimamo kwa wengine wasiweze kufanya hilo jambo
Pia sheria zinaelekeza mamlaka za soka kumfungia miezi minne mchezaji huyo
Hakuna sheria inayosema mchezaji aliyevunja mkataba kwa njia isiyofaa arudi kuendelea kuitumikia timu hiyo.
Huna tofauti na klabu unayoshabikia.Sijui una haraka za nini, ni ujinga wako tu na makelele yasiyo na maana kupitiliza.
Simply huyo wakili mpya anajua anachofanya, anajua kuna uwezekano akienda CAS moja kwa moja ataulizwa kama walipitia vyombo vya ndani, ndio maana mwenyewe ameamua kuanza moja.
Sasa wewe mpuuzi hujui lolote kuhusu haya mambo, hao TFF kama wakiendelea kuwabeba kama kawaida yao, hiyo ngoma ndio itatua CAS wakiwa na vielelezo vyote mkononi.
Mosi, utopolo FC waligoma kutoa ushirikiano, kwa kupewa milion 100 wakagoma kuzipokea.
Pili, TFF wanatoa maamuzi kinyume cha taratibu, wapo kisiasa tu.
Nyie wala sio wakupotezea watu muda kujibizana nanyi, ni wapumbavu msiojua lolote mnaobisha kama mlivyozoea kubishana na wajinga wenzenu mitaani.
Hebu nikuulize ewe mjinga; TFF walisema jumatatu ya leo wangetoa taarifa kamili kuhusu hili suala la Fei na Utopolo, niambie, umeiona hiyo taarifa popote mpaka jioni hii?
Kama kuna hole kwenye mkataba?Ataondoka bure? never ever
FEI IS A LOST CAUSE.Huna tofauti na klabu unayoshabikia.
Au unataka tufukue makaburi mliokuwa mmejazana/Makolokolo/Mbumbumbu/Makelele/Malalamiko/Mikia/Manyaunyau/Kolowizards/Ngada/Zuwena/Kinyume nyume/Madunduka FC kumjaza ujinga Fei kuwa alikuwa sahihi kuvunja mkataba na si mchezaji halali wa Yanga mkitema PUMBA tupu?
Akili ni mali.
Hao siku zote huwa ni keyboard warriors ila nyuma ya pazia ni full empty headed sets [emoji38]Sasa kumbe unayajua yote haya si uende ukasimamie hio kesi upige mpunga huo
Feisal kapeleka barua kutokana na kesi ilivyoamuliwa kuwa ni mchezaji wa UtoSasa kama alivunja mkataba iyo barua ya leo kaipeleka ya nini? Kwa akili zako fupi pamoja na feisal na wajinga wengine kama wewe wachezaji wote wangekuwa wanafsnya iyo trick na kuondoka timu zingekuwa na wachezaji? Kama sheria inasema tu ivyo na yeye alitimiza icho unachokisema kashindwa nini kuwa huru? Kashindwa nini kwenda mbele uko kuitafuta haki yake? Wapuuzi ni wengi sana umu ndani
Mpumbavu ni wewe unae komaa humu badala uende FIFAUtopolo umeambiwa hiyo ni sheria ya FIFA, usibishane na aliyewasilisha kile kilichoandikwa na FIFA, huo ujinga wako wa kusema timu zisingebaki na wachezaji mbona leo hiyo sheria ipo na timu zote duniani zina wachezaji?
Hujui kama ana mpango wa kwenda CAS?
Nyie ni kundi la wapumbavu walioshindikana kueleweshwa.
Usipotoshe, hakuna mkataba uliovunjwaYanga ilipeleka shauri mahakamani kuwa Feisal amevunja mkataba kwa njia isiyo ya halali
Sheria ya FIFA inasema mchezaji akivunja mkataba kinyume na makubaliano anapigwa faini ili kuifidia timu na kuweka msimamo kwa wengine wasiweze kufanya hilo jambo
Pia sheria zinaelekeza mamlaka za soka kumfungia miezi minne mchezaji huyo
Hakuna sheria inayosema mchezaji aliyevunja mkataba kwa njia isiyofaa arudi kuendelea kuitumikia timu hiyo.
Kopi ya mkataba unayo!!??Sakata la Feisal na klabu ya Yanga bado linaendelea katika mgogoro wa kimkataba kati ya Young Africans na mchezaji wake Feisal Salum ambaye alitaka kuvunja mkataba bila kufuata utaratibu hivyo kuamrishwa kuja kufanya mapitio ya kimkataba na club yake.
Sasa mara hii kaja na Jasmine Razack. Mwanadada huyu ambaye amekua msaada kwa wachezaji wengi kama Simon Msuva na timu yake ya Wydad Casablanca na wengine. Mwanadada huyu alishawahi kujinasibu anaconnection mpaka na wanasheria waliohusika kwenye uuzaji wa Club ya Chelsea. Sasa mara hii amekuja na ombi la kutaka mkataba uvunjwe ombi hilo kapeleka TFF.
Huyu dada Jasmine aliongea na waandishii akawasihi waache kusambaza habari sijui Feisal kaonewa au ameshindwa. Hii inamaanisha tayari wameona wamekosea pakubwa hivyo wanajaribu kutafuta kwa kutokea kwa kubadilisha watu tofauti tofauti wa kuwasimamia katika sakata hili.
Sasa Bush Lawyer wa JF na kwingineko mnaona mteja wenu anavyohangaika nyie mpo huku mnajipigisha kelele na kujaza server kwa pumba zenu.
Mfamaji haishi kutapatapa, hii ni biashara Feisal rudi ofisi za Yanga omba radhi, halafu huyo anayekutaka mwambie apeleke ombi la kutaka kuuvunja mkataba wako. Hiki ulichokifanya leo kitakuja kuwezekana may be mpaka mwezi wa 6 hii ni kwa faida ya wote.
Hatacheza na tangu alipoacha kucheza bado Klabu Bingwa wako wa vikombe vyote vya ligi za soka TZ 2021/2022 "YANGA FC" inazidi kuchanja mbuga kwa kishindo kitakatifu.FEI IS A LOST CAUSE.
hatocheza tena yanga
Nikumbushe shauri lililopelekwa mahakamani na Yanga dhidi ya Feisal lilikuwa na madai ganiUsipotoshe, hakuna mkataba uliovunjwa