Alianza na wakili Nduruma, akaja na mama na shangazi(wakili) sasa amekuja na Jasmine Razack

Alianza na wakili Nduruma, akaja na mama na shangazi(wakili) sasa amekuja na Jasmine Razack

Kwani Feisal Yeye anataka kurudi Yanga au anataka kuomdoka?
Halafu kama TFF inamlazimisha kwa kumwambia yeye ni Mchezaji halali wa Yanga , je kuna adhabu yoyote ile wamempa? maana amekuwa ni mtoro kazini kwa muda mrefu sasa. Ifike mahali Yanga wakubali kwamba kama Ng'ombe kagoma kunywa maji hata kama anayaona wasimlazimishe.

Yanga ni km nao wanatengeneza mtego wao kimya kimya….
Muda ukifika watamnasa sio kwamba ni wajinga na wanajua hafiki kazini lkn kuna pahala wanamsikilizia na toto Mwenyewe anajipeleka
 
Yanga ilipeleka shauri mahakamani kuwa Feisal amevunja mkataba kwa njia isiyo ya halali

Sheria ya FIFA inasema mchezaji akivunja mkataba kinyume na makubaliano anapigwa faini ili kuifidia timu na kuweka msimamo kwa wengine wasiweze kufanya hilo jambo

Pia sheria zinaelekeza mamlaka za soka kumfungia miezi minne mchezaji huyo

Hakuna sheria inayosema mchezaji aliyevunja mkataba kwa njia isiyofaa arudi kuendelea kuitumikia timu hiyo.
Una ufala mwingi sana kolo wewe
 
Nyie ndio wapumbavu namba moja, si mlisema feisal yuko sahihi kwa alichokifanya sàsa barua ya nini tena aliyopeleka tff? Kama ni sheria ya fifa ameshindwa nini kuifata iyo wakasonga mbele? Kwanini warudi tena nyuma kupeleka barua ya kuomba kuvunja mkataba? Wanataka kuvunja mkataba upi ambao uyo fei anadai alishavunja? Akili zenu zimejaa kamasi kama sio funza, msikilize uyo wakili wake alichokisema kwanza kabla ujapuyanga hapa, alafu ndio urudi kuandika pumba zako izo, kama ni CAS wangeshafika uko siku nyingi kwanini wanakomaa na tff ambayo wanaona aiwatendei haki? Tff washatamka fei toto ni mali ya yanga kwa mkataba halali akuna kinachoweza kubadilisha ilo walitakiwa waende uko CaS wanakoona kuna haki yao, Mwanasheria wake katamka kuwa tff ndiyo yenye uwezo wa kuvunja mkataba wa mchezaji na klabu au klabu na mchezaji endapo kuna sintofahamu na sio mchezaji kuamka uko alikolala na kusema amevunja mkataba, uyo mwanasheria kaona uyo dogo wenu mnayempigia debe la kibangi bangi alipuyanga pakubwa na wanasheria wa mchongo wakapiga pesa zake wakakaa pembeni, Sasa arudi kwa mwajili wake amtajie dau lake la kama anataka kuuvunja huo mkataba

Umemaliza mkuu! well said
Kilichobakia ni ugumu tu wa ubongo kuelewa maana hlo ndio ttzo letu watz
 
Hehehh. Wanasheria na mawakili wa mchongo ni sumu mjini. Dogo kalambishwa sumu sasa tumbo la kuhara limemshika anatafuta kichaka.

Et trick yao Fei avunje mkataba alafu afungiwe miezi 4 na faini alafu anakua huru. Vilabu vidogo vingekua na wachezaji kweli? Yanga wakamatie hapohapo wakilegeza kuna wahuni pale kambini watalianzisha siku moja na timu haitobaki na wachezaji wazuri. Kolo anahangaika ana tafuta njia ya kuvuruga ili atambe kama kipindi kile walivyomtumia bashite metercore kuivuruga yanga.
 
Nyie ndio wapumbavu namba moja, si mlisema feisal yuko sahihi kwa alichokifanya sàsa barua ya nini tena aliyopeleka tff? Kama ni sheria ya fifa ameshindwa nini kuifata iyo wakasonga mbele? Kwanini warudi tena nyuma kupeleka barua ya kuomba kuvunja mkataba? Wanataka kuvunja mkataba upi ambao uyo fei anadai alishavunja? Akili zenu zimejaa kamasi kama sio funza, msikilize uyo wakili wake alichokisema kwanza kabla ujapuyanga hapa, alafu ndio urudi kuandika pumba zako izo, kama ni CAS wangeshafika uko siku nyingi kwanini wanakomaa na tff ambayo wanaona aiwatendei haki? Tff washatamka fei toto ni mali ya yanga kwa mkataba halali akuna kinachoweza kubadilisha ilo walitakiwa waende uko CaS wanakoona kuna haki yao, Mwanasheria wake katamka kuwa tff ndiyo yenye uwezo wa kuvunja mkataba wa mchezaji na klabu au klabu na mchezaji endapo kuna sintofahamu na sio mchezaji kuamka uko alikolala na kusema amevunja mkataba, uyo mwanasheria kaona uyo dogo wenu mnayempigia debe la kibangi bangi alipuyanga pakubwa na wanasheria wa mchongo wakapiga pesa zake wakakaa pembeni, Sasa arudi kwa mwajili wake amtajie dau lake la kama anataka kuuvunja huo mkataba
Sijui una haraka za nini, ni ujinga wako tu na makelele yasiyo na maana kupitiliza.

Simply huyo wakili mpya anajua anachofanya, anajua kuna uwezekano akienda CAS moja kwa moja ataulizwa kama walipitia vyombo vya ndani, ndio maana mwenyewe ameamua kuanza moja.

Sasa wewe mpuuzi hujui lolote kuhusu haya mambo, hao TFF kama wakiendelea kuwabeba kama kawaida yao, hiyo ngoma ndio itatua CAS tena wakiwa na vielelezo vyote mkononi.

Mosi, utopolo FC waligoma kutoa ushirikiano, kwa kupewa milion 100 wakagoma kuzipokea.

Pili, TFF wanatoa maamuzi kinyume cha taratibu, wapo kisiasa tu.

Nyie wala sio wakupotezea watu muda kujibizana nanyi, ni wapumbavu msiojua lolote mnaobisha kama mlivyozoea kubishana na wajinga wenzenu mitaani.

Hebu nikuulize ewe mjinga; TFF walisema jumatatu ya leo wangetoa taarifa kamili kuhusu hili suala la Fei na Utopolo, haya niambie, umeiona hiyo taarifa popote mpaka jioni hii?
 
Hizo ni sababu zake yeye sasa.....
Ndio maana anaomba Kuvunja mkataba.
Tutaona kama ni Just cause au Sio.
Kama ni Just cause Fei ataondoka bure yanga huku Yanga wakishangaa macho.

Kama without a Just cause still ataondoka Yanga atalipa faini na kufungiwa baadhi ya miezi.
Ila haweziblazimishwa kucheza Yanga.
Ataondoka bure? never ever
 
Yanga ilipeleka shauri mahakamani kuwa Feisal amevunja mkataba kwa njia isiyo ya halali

Sheria ya FIFA inasema mchezaji akivunja mkataba kinyume na makubaliano anapigwa faini ili kuifidia timu na kuweka msimamo kwa wengine wasiweze kufanya hilo jambo

Pia sheria zinaelekeza mamlaka za soka kumfungia miezi minne mchezaji huyo

Hakuna sheria inayosema mchezaji aliyevunja mkataba kwa njia isiyofaa arudi kuendelea kuitumikia timu hiyo.
Sasa kumbe unayajua yote haya si uende ukasimamie hio kesi upige mpunga huo
 
Sijui una haraka za nini, ni ujinga wako tu na makelele yasiyo na maana kupitiliza.

Simply huyo wakili mpya anajua anachofanya, anajua kuna uwezekano akienda CAS moja kwa moja ataulizwa kama walipitia vyombo vya ndani, ndio maana mwenyewe ameamua kuanza moja.

Sasa wewe mpuuzi hujui lolote kuhusu haya mambo, hao TFF kama wakiendelea kuwabeba kama kawaida yao, hiyo ngoma ndio itatua CAS wakiwa na vielelezo vyote mkononi.

Mosi, utopolo FC waligoma kutoa ushirikiano, kwa kupewa milion 100 wakagoma kuzipokea.

Pili, TFF wanatoa maamuzi kinyume cha taratibu, wapo kisiasa tu.

Nyie wala sio wakupotezea watu muda kujibizana nanyi, ni wapumbavu msiojua lolote mnaobisha kama mlivyozoea kubishana na wajinga wenzenu mitaani.

Hebu nikuulize ewe mjinga; TFF walisema jumatatu ya leo wangetoa taarifa kamili kuhusu hili suala la Fei na Utopolo, niambie, umeiona hiyo taarifa popote mpaka jioni hii?
Huna tofauti na klabu unayoshabikia.

Au unataka tufukue makaburi mliokuwa mmejazana/Makolokolo/Mbumbumbu/Makelele/Malalamiko/Mikia/Manyaunyau/Kolowizards/Ngada/Zuwena/Kinyume nyume/Madunduka FC kumjaza ujinga Fei kuwa alikuwa sahihi kuvunja mkataba na si mchezaji halali wa Yanga mkitema PUMBA tupu?

Akili ni mali.
 
Huna tofauti na klabu unayoshabikia.

Au unataka tufukue makaburi mliokuwa mmejazana/Makolokolo/Mbumbumbu/Makelele/Malalamiko/Mikia/Manyaunyau/Kolowizards/Ngada/Zuwena/Kinyume nyume/Madunduka FC kumjaza ujinga Fei kuwa alikuwa sahihi kuvunja mkataba na si mchezaji halali wa Yanga mkitema PUMBA tupu?

Akili ni mali.
FEI IS A LOST CAUSE.
hatocheza tena yanga
 
Sasa kama alivunja mkataba iyo barua ya leo kaipeleka ya nini? Kwa akili zako fupi pamoja na feisal na wajinga wengine kama wewe wachezaji wote wangekuwa wanafsnya iyo trick na kuondoka timu zingekuwa na wachezaji? Kama sheria inasema tu ivyo na yeye alitimiza icho unachokisema kashindwa nini kuwa huru? Kashindwa nini kwenda mbele uko kuitafuta haki yake? Wapuuzi ni wengi sana umu ndani
Feisal kapeleka barua kutokana na kesi ilivyoamuliwa kuwa ni mchezaji wa Uto

TFF walivyoamua kwenye hii kesi ndio imefanya ionekane kama ni jambo ambalo halimuwajibishi mchezaji na kuweka mashaka kwa wachezaji wengine kuweza kuvunja mkataba kiholela

TFF ingefata sheria hakuna mtu angeweza kuwaza kuwa wachezaji wanaweza kufanya hivyo kwasababu kuna sheria inayowabana kwa kutoa adhabu kali ikiwemo faini na kufungiwa kucheza kwa muda wa miezi 4

Kwa hiyo kitendo cha TFF kuamua Feisal ni mchezaji wa Uto wakati Uto walileta shauri lenye madai Feisal amevunja mkataba katika namna isiyo sahihi, basi uamuzi wa kusema Feisal ni mchezaji halali wa Uto umeenda kinyume na sheria
 
Utopolo umeambiwa hiyo ni sheria ya FIFA, usibishane na aliyewasilisha kile kilichoandikwa na FIFA, huo ujinga wako wa kusema timu zisingebaki na wachezaji mbona leo hiyo sheria ipo na timu zote duniani zina wachezaji?

Hujui kama ana mpango wa kwenda CAS?

Nyie ni kundi la wapumbavu walioshindikana kueleweshwa.
Mpumbavu ni wewe unae komaa humu badala uende FIFA
 
Yanga ilipeleka shauri mahakamani kuwa Feisal amevunja mkataba kwa njia isiyo ya halali

Sheria ya FIFA inasema mchezaji akivunja mkataba kinyume na makubaliano anapigwa faini ili kuifidia timu na kuweka msimamo kwa wengine wasiweze kufanya hilo jambo

Pia sheria zinaelekeza mamlaka za soka kumfungia miezi minne mchezaji huyo

Hakuna sheria inayosema mchezaji aliyevunja mkataba kwa njia isiyofaa arudi kuendelea kuitumikia timu hiyo.
Usipotoshe, hakuna mkataba uliovunjwa
 
Sakata la Feisal na klabu ya Yanga bado linaendelea katika mgogoro wa kimkataba kati ya Young Africans na mchezaji wake Feisal Salum ambaye alitaka kuvunja mkataba bila kufuata utaratibu hivyo kuamrishwa kuja kufanya mapitio ya kimkataba na club yake.

Sasa mara hii kaja na Jasmine Razack. Mwanadada huyu ambaye amekua msaada kwa wachezaji wengi kama Simon Msuva na timu yake ya Wydad Casablanca na wengine. Mwanadada huyu alishawahi kujinasibu anaconnection mpaka na wanasheria waliohusika kwenye uuzaji wa Club ya Chelsea. Sasa mara hii amekuja na ombi la kutaka mkataba uvunjwe ombi hilo kapeleka TFF.

Huyu dada Jasmine aliongea na waandishii akawasihi waache kusambaza habari sijui Feisal kaonewa au ameshindwa. Hii inamaanisha tayari wameona wamekosea pakubwa hivyo wanajaribu kutafuta kwa kutokea kwa kubadilisha watu tofauti tofauti wa kuwasimamia katika sakata hili.

Sasa Bush Lawyer wa JF na kwingineko mnaona mteja wenu anavyohangaika nyie mpo huku mnajipigisha kelele na kujaza server kwa pumba zenu.

Mfamaji haishi kutapatapa, hii ni biashara Feisal rudi ofisi za Yanga omba radhi, halafu huyo anayekutaka mwambie apeleke ombi la kutaka kuuvunja mkataba wako. Hiki ulichokifanya leo kitakuja kuwezekana may be mpaka mwezi wa 6 hii ni kwa faida ya wote.
Kopi ya mkataba unayo!!??
ama unapiga kelele za vijiweni!!??
Wabongo kwa ujuaji mbuzi bana.
 
FEI IS A LOST CAUSE.
hatocheza tena yanga
Hatacheza na tangu alipoacha kucheza bado Klabu Bingwa wako wa vikombe vyote vya ligi za soka TZ 2021/2022 "YANGA FC" inazidi kuchanja mbuga kwa kishindo kitakatifu.

Disciplinary actions must be seriously taken to any football player who is actually going against the scheduled club rules and regulations in order to run and maintain its investments, strategic plans, mission and vision towards completing of the successful goals attainment.
 
Back
Top Bottom