Mkuu kumkosoa mzee Mwapachu kwenye kiingereza inabidi ujipange. Walisoma wakati shule zilikuwa na viwango na walimu walielimika vilivyo na kuheshimika kwenye jamii.[/QUOTE
He is human, after all; hata Queen Elizabeth ll ana madudu rarely, though; kwenye speeches zake. Nilipokuwa nasoma grammer those decades back, mwalimu wetu alikuwa akituonesha madudu ya watu maarufu especially members of the British Royal Family and other great leaders of the time. The most important thing is, the point has got accross the audience. Hata tukiandika kiswahili na kwenye magazeti ya kiswahili tunaona madudu. Haina maana muandishi hajui kiswahili