Kibwengo
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 6,826
- 5,302
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Hittler sio maarufu???? Kwani mbona umaarufu wa piere unawaumaa sana Kuliko umaarufu wa Amber rutty????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
we fala unajua aina gani ya nyumba inatakiwa kuwekwa umeme? Na sifa zipi unatakiwa kukiz ili kuwekewa umeme? Au unaleta upakwa mafuta wako acha ushenzi wa kutetea vilaza hao wasio jitambuaNdiyo maana nasisitiza Tanzania (Watanzania) tunahitaji kujitathimini upya, kwetu sisi hatujui tunacho kitaka ni kitu gani, walipa kodi wakubwa ni wananchi wa vijijini kwahiyo hao hawana haki ya kupata umeme?
Hiyo project ni ya REA ambayo kwa kiasi flani ni miradi inayo fadhiliwa na World Bank..
Juzi upinzani tulikuwa tunalalamika miaka 50 ya uhuru vijijini hamna umeme haya nyumba za tembe zimeanza kupata umeme mnaanza kulalamika..
Kwahyo mlitaka REA iwe project ya mijini?
Ndiyo maana nasema huyo mpumbafu mlevi anawakilisha idadi kubwa sana Watanzania wajinga wajinga na walevi wasio jitambua
From day one nilivyo skia huyu mlevi nae ni mtu maarufu nikajua kabisa Tanzania inahitaji kujitathimini upya, kuna kila sababu za msingi Paul Makonda akabidhiwe nchi baada ya Magufuli, maana naona Tanzania kuna wapumbafu wengi sana kiasi kwamba kwa level za Uzee wa Magufuli hawezi kukabidhia nazo.....
Nancy hazeeki duhHaya mambo ndo yanamuuma MakondaView attachment 1058578
Mwache huyo Mkuu Mshana Jr.Thanks all the same
Jr[emoji769]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]we fala unajua aina gani ya nyumba inatakiwa kuwekwa umeme? Na sifa zipi unatakiwa kukiz ili kuwekewa umeme? Au unaleta upakwa mafuta wako acha ushenzi wa kutetea vilaza hao wasio jitambua
Kama akili za Watanzania ndiyo hizi wacha Magufuli amalizie miaka yake sita iliyo baki Makonda awe rais.. Bado kuna wajinga wamelala wanatakiwa kuamshwa kwa chumaKwani Hittler sio maarufu???? Kwani mbona umaarufu wa piere unawaumaa sana Kuliko umaarufu wa Amber rutty????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu hata mie nmemshangaa.Sasa leo Uunganishe vyuma upate gari unataka Iwe habari mpyaa serious????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Watanzania bhnaa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kumbe huwa mnapagawishwa na mali za wanaume wenzenu??Usinywe mkuu,
Mana vichungu navyo dawaa....
Hizo drama za kusaga na mondi zinakupagawisha???
Sent using Jamii Forums mobile app
Wote piere na bashite ni watu wa hovyoPIERRE ATABAKI KUWA JUU ,ATABAKI KILELENI
MWACHENI AFURAHIE MAISHA YAKE
BASHITE HATA WEWE WA OVYO TU
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyo vigezo vyako vya kilevi ndivyo vilivyo ifikisha hii nchi mahali ikakwama, Magufuli anaiyondoa kwenye mkwamo na kuiweka kwenye laini...we fala unajua aina gani ya nyumba inatakiwa kuwekwa umeme? Na sifa zipi unatakiwa kukiz ili kuwekewa umeme? Au unaleta upakwa mafuta wako acha ushenzi wa kutetea vilaza hao wasio jitambua
Kama akili za Watanzania ndiyo hizi wacha Magufuli amalizie miaka yake sita iliyo baki Makonda awe rais.. Bado kuna wajinga wamelala wanatakiwa kuamshwa kwa chuma
From day one nilivyo skia huyu mlevi nae ni mtu maarufu nikajua kabisa Tanzania inahitaji kujitathimini upya, kuna kila sababu za msingi Paul Makonda akabidhiwe nchi baada ya Magufuli, maana naona Tanzania kuna wapumbafu wengi sana kiasi kwamba kwa level za Uzee wa Magufuli hawezi kukabidhia nazo.....