nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
kijana wake supastaa anafanya mapenzi ya kishoga na yule choko muuza mchele, watu wa hovyohovyo ndiyo anawalea sababu na yeye ni wa hovyohovyoNadhani kama ni ishu ya uhovyo wa mtu basi wa kwanza kushambuliwa hapo ilibidi iwe huyo muandaaji wa shughuli Jokate!
mbona yeye ana mapicha ya aibu mitandaoni ila hakuna anayemsema?
Halafu makonda yeye ni mlezi wa wcb kila siku wanatoa nyimbo za hovyo kusikia ngono mpaka zinafungiwa ila hujawahi kukemea hilo!
huyu Jamaa mtu wa ajabu sana aisee
Mtoa mada labda hukuelewa hoja ya makonda!!! Na kwakuwa watz tunamawazo yanayofanana pasipokufanya analysis wote tumeingia kwenye huu mkenge labda ni kwasababu makonda kaongea!!!
Nmemsikiliza vzr sana makonda na yeye alitoa ushauri kwa waandishi wa habar kwamba waweke kwenye front page habar ya mama mmja kuliko ya watu walevi sasa hapo kamdhalilisha kivipi???
Je huyu bwana kiuhalisia kipi cha maana akifanyacho??? Je tunataka kuandaa taifa la walevi??? Kwann ulevi wa huyu bwana ndo habar ya mjini ww huoni impact yake kwa vijana wetu???? Unaacha kushea habar ya wanafunzi kukaa chini drsan au kushea kipaji cha mtoto unaweka habar ya pierre front page ???? Una akili????
Ukweli ni kwamba watz tunaoenda mambo ya hovyo kabsa sioni tofauti ya huyu na dr shika !!
Nimeona watu humu wanashabikia ujinga eti anajitafutia kipato kwani huyu bwana tofauti yake na nabii tito i wapi?????
Sikatai kuwa na watu wa namna hiyo lakn kama taifa hatuwesi kuwekeza kwa watu kama hawa na maajabu unakuta waandishi wa habr ndo habar zao za mjini
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaa kimya kilaza wewe kama hujui ya nchi hii tuachie wenyewe utakuja kosa mshahara wa buku 7 yako utalia nchi ipo katika danger zone hii. Na tuone kama mtapewa hyo buku 7 yenu mwaka huu alafu bado unaongea ujinga huyo unae msifia s nae alikuwa katika mfumo huo huo hana jipya kwa TanzaniaHivyo vigezo vyako vya kilevi ndivyo vilivyo ifikisha hii nchi mahali ikakwama, Magufuli anaiyondoa kwenye mkwamo na kuiweka kwenye laini...
Chiiiiii ati niniii lamba Lolo..... iyooo imepaaa
Tokea jana nimewambia katika hili sisemi kituMmh hapana ndugu jamii ina watu wa kila aina.. Hebu angalia kama kina Mr bin au John Walker... J. Walker mpaka leo ni brand maarufu duniani ya kilevi....
Imagine kama taifa watu kama hawa ndio tegemeo kwanini Pierre konk asipate shavu...? View attachment 1058619View attachment 1058620
Jr[emoji769]
Hao wangese kwanza inabidi wamlipe konki hela yake. Wanapenda kutoka kupitia migongo ya wengineAlafu kile kipande cha video kinamuonesha Piere anamtukana mwandishi wa habari ni Part ndogo ya video nzima ambayo Piere aliambiwa aigize kama anaonesha dharau... Wapuuzi wakachukua kipande kidogo cha video nzima wakakipost... Wasafi nao ni wangese tu kama bashite. Wanataka wao tu ndo wawee topic in town...[emoji48][emoji48][emoji48][emoji48]
Sent using Jamii Forums mobile app
Juzi huku mskia gavana wa BOT akitoa taarifa serikali inaweza kujiendesha bila kukusanya kodi kwa mwaka mmoja?Kaa kimya kilaza wewe kama hujui ya nchi hii tuachie wenyewe utakuja kosa mshahara wa buku 7 yako utalia nchi ipo katika danger zone hii. Na tuone kama mtapewa hyo buku 7 yenu mwaka huu alafu bado unaongea ujinga huyo unae msifia s nae alikuwa katika mfumo huo huo hana jipya kwa Tanzania
Muulize Makonda wakati anatangaza watu wakanywe bia nusu bei alikuwa anajenga Taifa la aina gani.?Mtoa mada labda hukuelewa hoja ya makonda!!! Na kwakuwa watz tunamawazo yanayofanana pasipokufanya analysis wote tumeingia kwenye huu mkenge labda ni kwasababu makonda kaongea!!!
Nmemsikiliza vzr sana makonda na yeye alitoa ushauri kwa waandishi wa habar kwamba waweke kwenye front page habar ya mama mmja kuliko ya watu walevi sasa hapo kamdhalilisha kivipi???
Je huyu bwana kiuhalisia kipi cha maana akifanyacho??? Je tunataka kuandaa taifa la walevi??? Kwann ulevi wa huyu bwana ndo habar ya mjini ww huoni impact yake kwa vijana wetu???? Unaacha kushea habar ya wanafunzi kukaa chini drsan au kushea kipaji cha mtoto unaweka habar ya pierre front page ???? Una akili????
Ukweli ni kwamba watz tunaoenda mambo ya hovyo kabsa sioni tofauti ya huyu na dr shika !!
Nimeona watu humu wanashabikia ujinga eti anajitafutia kipato kwani huyu bwana tofauti yake na nabii tito i wapi?????
Sikatai kuwa na watu wa namna hiyo lakn kama taifa hatuwesi kuwekeza kwa watu kama hawa na maajabu unakuta waandishi wa habr ndo habar zao za mjini
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani kunivunjia heshima hufaidiki na chochote na hainiathiri vile vile.Bhasi wew ni mpuuzi kama leo baada ya kuongea ushuzi ule ndo unaona ni mtu wa maana..utakuwa una utahiraa flani
Sent using Jamii Forums mobile app
na kweli joketi ingetakiwa aanze nao ili iwe mfanoKwakweli zero sio ya kufanyia mzaha inatakiwa itokomezwe jana imejitokeza mbele ya watokemezaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ambavyo wewe kusupport ubashite wa daudi hauwezi kumuathiri wala kumshusha pieree... Muda pekee ndo utaamua!![emoji48][emoji48][emoji48][emoji48]Nadhani kunivunjia heshima hufaidiki na chochote na hainiathiri vile vile.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo achana na series za Mr bn hzo tukimwaga data hapa server itazima ghafra hapa usione wamachinga wanapata tabu uchumi umeyumba sana tena sana ndio maaana mzee baba kawa mpole sana hv unajua kwann rostam na mzee Ely karudi kule?Juzi huku mskia gavana wa BOT akitoa taarifa serikali inaweza kujiendesha bila kukusanya kodi kwa mwaka mmoja?
Eti nchi ipo katika danger zone hii.
Akili za namna hii ni za walevi. Crap
Tz sasa wewe kwanini usifanye vitu vya maana ukawa na umaarufu wa maanaFrom day one nilivyo skia huyu mlevi nae ni mtu maarufu nikajua kabisa Tanzania inahitaji kujitathimini upya, kuna kila sababu za msingi Paul Makonda akabidhiwe nchi baada ya Magufuli, maana naona Tanzania kuna wapumbafu wengi sana kiasi kwamba kwa level za Uzee wa Magufuli hawezi kukabidhia nazo.....
Uliona wapi zero inatokomeza zero?Lengo la kusema vile lilikua ni kwa ajili ya kuwaelimisha wanafunzi wasije kuiga mfano kama wa uyo Mlevi..
Ibaki watu wapate umaarufu kupitia njia nzuri na sio kwa ulevi. kwa mujibu wa hiyo kampeni ya Tokomeza Zero.
Sent using Jamii Forums mobile app
likwidi itabaki kuwa kileleni[emoji23] [emoji23] [emoji23]Sasa huyu DC nae ni zero!
Kwanini amuite bashite kwenye hiyo tokomeza zero wakati bashite naye ni zero! Halafu awaseme zero wenzake watafutaji!
Hiyo zero si kwa wanafunzi! Konki liquid anasoma??
Sey yeeeeeeeeeeh!