Alichofanya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Makonda kwa Pierre Mzee wa Liquid ni udhalilishaji na kinyume cha haki za binadamu

kijana wake supastaa anafanya mapenzi ya kishoga na yule choko muuza mchele, watu wa hovyohovyo ndiyo anawalea sababu na yeye ni wa hovyohovyo
 
Achaa uzuzuu... Ushawahi ona Gazeti la mwanchi front page kakaa piere.??? Sasa wewe unasoma udaku unataka kila siku front page ukute Wema abadilisha bwanaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sijui diamond amlaa mate hamisa hadharani???[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] Muacheni piere maana wote wapenda kiki tu sawa na Zile kiki za kusema Ambulance zimeokotwa bandarini....Upuuzi juu ya upuuzi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivyo vigezo vyako vya kilevi ndivyo vilivyo ifikisha hii nchi mahali ikakwama, Magufuli anaiyondoa kwenye mkwamo na kuiweka kwenye laini...
Kaa kimya kilaza wewe kama hujui ya nchi hii tuachie wenyewe utakuja kosa mshahara wa buku 7 yako utalia nchi ipo katika danger zone hii. Na tuone kama mtapewa hyo buku 7 yenu mwaka huu alafu bado unaongea ujinga huyo unae msifia s nae alikuwa katika mfumo huo huo hana jipya kwa Tanzania
 
Mtu anapata umaarufu kisa kujitoa akili tu na kusema chiiiiii,mama nakufa, hahahaha ila piere atabaki kuwa juu mawinguni...

Uzi tayar
 
Hao wangese kwanza inabidi wamlipe konki hela yake. Wanapenda kutoka kupitia migongo ya wengine
 
Juzi huku mskia gavana wa BOT akitoa taarifa serikali inaweza kujiendesha bila kukusanya kodi kwa mwaka mmoja?

Eti nchi ipo katika danger zone hii.
Akili za namna hii ni za walevi. Crap
 
Muulize Makonda wakati anatangaza watu wakanywe bia nusu bei alikuwa anajenga Taifa la aina gani.?
 
Sasa huyu DC nae ni zero!
Kwanini amuite bashite kwenye hiyo tokomeza zero wakati bashite naye ni zero! Halafu awaseme zero wenzake watafutaji!
Hiyo zero si kwa wanafunzi! Konki liquid anasoma??

Sey yeeeeeeeeeeh!
 
Juzi huku mskia gavana wa BOT akitoa taarifa serikali inaweza kujiendesha bila kukusanya kodi kwa mwaka mmoja?

Eti nchi ipo katika danger zone hii.
Akili za namna hii ni za walevi. Crap
Dogo achana na series za Mr bn hzo tukimwaga data hapa server itazima ghafra hapa usione wamachinga wanapata tabu uchumi umeyumba sana tena sana ndio maaana mzee baba kawa mpole sana hv unajua kwann rostam na mzee Ely karudi kule?
 
Unwell ni kwamba makonda amezidi kumpaisha bila kuelewa. Kimsingi jamii husimama na mnyonge.binafsi sikuwa namfahamu. Lila sana namfahamu na nimevutiwa na uigizaji ulevi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tz sasa wewe kwanini usifanye vitu vya maana ukawa na umaarufu wa maana

mpuuzi mpuuzi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…