Alichofanya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Makonda kwa Pierre Mzee wa Liquid ni udhalilishaji na kinyume cha haki za binadamu

Yaani kiongozi halafu unazungumza maneno kama haya kwa unao waongoza, hivi ni sahihi kweli? Wapiga kura ambao wamemchagua raisi, na kutokana na kura zao ndio raisi akakuteua wewe, halafu wanakua watu wa hovyo?Tena unawataja kwa majina? Hata kama mtu uko katika nafasi flani lakini busara na kuheshimiana ndio msingi wa uongozi bora
 
Baada ya kufanya upelelezi makini kwa kumtumia mpelelezi binafsi.
Imegundulika kuwa tatizo halikuwa kwa Piere.
Tatizo ni
Kwanini Jokate awe karibu na Mzee Piere.
Kwanini amwalike kama hawafahamiani kiundani cha ndani...!
Yaani Jokate unashindwa kunikubalia mimi unamkubali Piere Konki,
Wakati mimi ni mkuu wa Jimbo la Amasia.
Na shahazarde wa Sultani Suleiman Khan.
Nimezungumza fasihi nyepesi sana.
Hata watu wa Hovyo wamenielewa.
Kama huyo Piere

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Makonda siyo tu ni mjinga bali ni mpumbavu, bwege na ms....e.
Alipotangaza nusu bei alikuwa na maana gani?
 
Kampeni tokomeza Ziro inayomuhusisha jamaa aliyepata ziro primary na sekondari hadi ikambidi atumie majina na vyeti vya mtu mwingine ili kuficha ziro zake. Kampeni imekosa credibilities.
 
Makonda was probably RIGHT but NOT WISE. He lacks the qualities of a good leader.

Ni kweli....He is right lakini approach yake siyo nzuri...lugha yake ina tatizo...""watu waovyo ovyo.." siyo lugha nzuri...
 
Makonda hana moral authority ya kusema chochote kwa Pierre Liquid.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuu hii hatari. Joketi na Makonda wakutane waombane msamaha. Maana Joketi kakwazika huko twitter. Halafu mh Makonda nikupage ushauri siyo kila siku ukweli unasemwaga kweupeee mengine unamezea!! Walevi hao hao ndiyo wanawapigia kura wanasiasa na pia wanachangia pato LA taifa kwA kunywa bia hovyooo.. Hapo sasa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…