Alichofanya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Makonda kwa Pierre Mzee wa Liquid ni udhalilishaji na kinyume cha haki za binadamu

Alichofanya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Makonda kwa Pierre Mzee wa Liquid ni udhalilishaji na kinyume cha haki za binadamu

kinachouma zaidi ni kwamba mchizi kaenda pale kuhamasisha na katoa mchango wake wa laki moja ila kaambulia matusi mbele za watu dah! i feel him
 
Tatizo ni wivu....Kwenye mexhi Niliposhuka na helikopta ilimuuma.sana...kwenye msiba kule kijijini pia..kanisa language Lima sadaka nyingi waumini 50.000 wakinichangia kila mmoja 10.000 ni ngapi? Ninaandika.vitabu Vinci sana...pesa ninayo tumashindana vipi?
 
Numby kwa Piere tunaweza elewa tukasema masanga ilikolea,lakini kwa DAB hapana tunajua sote hanywi sasa kuharisha vile kama abiria aliyeshikwa tumbo la kuhara akajitosa katika choo cha porini ni nini?Inaweza kuwa poo ana vuta bhangi maana akili yake haieleweki na hainaga akili
Makonda hajatumia busara

Ila piere pia alizidi dharau,kumuita paparazi takataka haikubaliki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kosa la Pieri Likwidi konk ni kuwa timu kibakuli, wakati Bashite ni mlezi wa wachafu.

Pili likwidi konk alimtukana mwandishi wa habari sijajua ni wawasafi maana mbele yake ilikuwepo maiki ya WCB.

Bifu la Wasafi na Likwidi lilianzia kwenye wimbo wa tetema, Reyvan aliingiza maneno na vionjo vya Likwidi bila ridhaa yake.

Likwid akasema wangemwomba ama kumshirikisha yeye mwenyewe ama wampe hata kifuta jasho Wasafi wakakaza.

Ukitaka kujua Bashite anaroho mbaya, huyo Pieri kwenye uhamasishaji Taifa stars alitumika, ila kwenye mechi akazuiwa na Pieri likwidi alitaka aingie kwa masupastar akazuiwa.

Kwenye hafla ya ikulu jina lake lilikatwa, japo Mama Samia kwa heshima na taadhima akamtaja kwa kutambua mchango wa Pieri Likwid konk....hicho kitendo kilimuuma sana Bashite.

Sasa leo mkuu wa wilaya akamwalika kwenye shughuli ya tokomeza ziro, hiki kitendo kimemuuma sana Rais wa Dar kuona jamaa anazidi kuwa juu/kileleni.

Kuna hatari hata makampuni yaliyoanza kufanya kazi na Pier yakasitisha mikataba iwe kwa hiari ama kwa lazima maana Rais wa Dar hapendizwi na wanachokifanya.

Hata hivyo ukiangalia kiundani alietukanwa hapo na Makonda ni Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Jokate aliemwalika Pieri Likwid Konk.

Pole Likwid Pierr Konk utabaki kuwa juu kileleni.
Ukweli mchungu,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu, nimesema sijawa kumuunga mkono Makonda. Ila aliposema umaarufu wa kilevi wa huyo star wenu ni wa hovyo sijapingana nae na ikumbukwe mimi sio shabiki wa Makonda. Tunatofautina mawazo usinilaumu kwa hilo please.
Ila alipo halalisha watu wamkoa wake walewe kwa nusu Bei na si sukari, chumvi, mchele, unga ,usafiri ulishangilia huyo Pierre anakunywa Pombe zake tena siyo kwa punguzo lenu inawauma??
"AMA KWELI MCHAWI BINADAMU PAKA HUTUMWA TU"

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuache kulea ujinga na kusifu ujinga.Mitaani sasa hivi mjinga huyu anajiita supa staa/mtu maarufu na ujinga ujinga mwingi kama wajinga wa humu wanaomtetea na kumtangaza mjinga huyu kwa wajinga kuhusu ujinga wa huyu mjinga.

Eti mamaaaa,fayaaaaa,konkiii,likwidi na kujibenua benua kijinga kijnga.

Makonda was right to say what have said at Mlimani City recently.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kavunja sheria gani au unawashwa msambwanda!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
walevi utawajua wanavyomshabikia huyo mlevi mwenzao piere. hata joketi ni mlevi ndio maana anamtetea mlevi mwenzake
 
Anachofanya Pere ni sanaa kama sanaa nyingine tu.

Ndivyo wanavyofanya kina Massele, Mkude Simba n.k...ni kama stand up comedy ila yeye kajia kwa anle yake.

Tatizo la Wabongo tumeshakariri, ni mpaka tumuone Mtu kwenye Majukwaa rasmi ndio tunaridhika kwamba hiyo ndio sanaa.
 
Shida ipo hapa
Screenshot_20190331-145535.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unafiki mtupu, mbona kwenye uhamashishaji wa timu ya taifa pierre alimtumia na yeye alikuwa mwenyekiti, ukiona hivi ujue kamdhulumu, kitu cha kawaida awamu hiii
Wakati wa uhamasishaji piere hakuwa kwenye kamati ya RC Yeye piere alikua chini ya kampuni ya DSTV tanzania na alikua akihamasisha na kulipwa na dstvTanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mda mwingne huwa nahs kuna watu wanafanya kazi kwenye ile office ila ghost workers
Huwez ongoza dar na akili za ajabu kias icho
Asanteni sana ghost workers mnaofanya kazi kwenye io office ila lipen kodi sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom