Alichofanya 'Try Again' kwa Ki Aziz kinaitwaje kitaalam

Huyu punguani kma aliweza kuwaambia mtaanzia hatua ya kwanza atashindwa hili?
Mkuu we endelea tu kupiga kura hata mara 100 kwa siku kwenye shindano la zaidi,ndio faraja yenu iliyobaki msimu huu,huku kwenye usajili utajitonesha maumivu mengine kabla maumivu ya ule mchi wa feisal kule kirumba na kukosa ubingwa wa nbc premier league,kajifariji kwenye nani zaidi kule
 

Attachments

  • Screenshot_20220611-174540_Instagram.jpg
    49 KB · Views: 14
Oi Oi Kumwe Boooy, Mnyama Kama Mnyama [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Alichokiandika Haji Manara baada ya Simba SC kukanusha barua inayowahusisha na Stephane Aziz Ki, kupitia ukurasa wake wa Instagram :

✍️ β€œ Sasa hivi Wanaikana Barua yao wakati leo kutwa walikuwa wameaminishwa uzuzu na Bi Chaunabe.

β€œHii ndio Yanga Afrikaaaaaaa..

Vp kuna Maswali?

β€œHaya Makolo,,nendeni mkalale sasa hivi,tena mjifunike Gubi Gubi, mkijiamsha tu natuma Mkataba

β€œYanga itake lake ishindwe na Watu waongo waongo? Ulisikia wapi?

β€œHalaf kumbe ndio maana Makolo na Wachambuzi wao NZALA hawamtaki Hersi.

β€œNdugu yangu ww tema kulia mm nafukia kushoto,,,hadi watwambie Bilioni ishirini feki zipo Benki gani

β€œPambaneni na Buku Buku, msajili kina Aziiz Ally wa Mtoni Kwa Burushi, Ndegelec

β€œMkileta Fyoko natuma Voice ya Chaunabe kwa Namba Ten 99

Beauty Beauty,.....β€πŸ–‹οΈ

#KitengeSports
 
Simba imeshapakatwa,offer yao imetupwa.aziz ki anaungana na Yacouba Sogne Yanga!!
Asubuhi tu,shida wanakelele nyingi bila vitendo......Yule Adebayor mpaka walimfanyia interview,ila RS Berkane wameshamdaka juu Kwa juu Kwa taarifa zilizopo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…