Alichokiandika Haji Manara baada ya Simba SC kukanusha barua inayowahusisha na Stephane Aziz Ki, kupitia ukurasa wake wa Instagram :
βοΈ β Sasa hivi Wanaikana Barua yao wakati leo kutwa walikuwa wameaminishwa uzuzu na Bi Chaunabe.
βHii ndio Yanga Afrikaaaaaaa..
Vp kuna Maswali?
βHaya Makolo,,nendeni mkalale sasa hivi,tena mjifunike Gubi Gubi, mkijiamsha tu natuma Mkataba
βYanga itake lake ishindwe na Watu waongo waongo? Ulisikia wapi?
βHalaf kumbe ndio maana Makolo na Wachambuzi wao NZALA hawamtaki Hersi.
βNdugu yangu ww tema kulia mm nafukia kushoto,,,hadi watwambie Bilioni ishirini feki zipo Benki gani
βPambaneni na Buku Buku, msajili kina Aziiz Ally wa Mtoni Kwa Burushi, Ndegelec
βMkileta Fyoko natuma Voice ya Chaunabe kwa Namba Ten 99
Beauty Beauty,.....βποΈ
#KitengeSports